mtoa post we ndio umeshindwa kufikiri sawa,ulitaka majibu yapi?,kabla ya majibu kwa slaa,tunamaswali slaa anatakiwa kutujibu,press iliandaliwa na nani kwa gharama za nani ,kwa maslahi ya nani,alikuwa wapi siku zote,kwanini asijitokeze baada ya lowasa kuja kwa mara ya kwanza,na kwani na alihusika kumtafuta lowasa toka mwezi wa tano,je hakujua kama fisadi,na hoje zake zinajenga upinzani au zinabomoa na kwa maslahi ya nani?????,akiweza kutujibu tukalidhika,tungemuelewa baada october.