Tunawezaje kuamini mabadiliko ya salamu?

Tunawezaje kuamini mabadiliko ya salamu?

Mabadiliko kutoka kwa Lowasa?tuache mizaa jamani

Mpango wa mabadiliko Chadema umeanza kitambo kumbuka mwanzo wa kauli mbiu na nembo ya M4C....Lowasa kajakuongezea kasi...atasimamia matakwa ya wananchi kupitia muungano wa ukawa
 
Jipambanue ww ni wa mrengo upi kati ya hiyo maana sisi wa cuf kitambo tulishaona pale ni usanii na ubabaishaji tukaamua kukacha coalition ya kinafiki isiyo na makubaliano rasmi.

Wewe ni CUF IPI uliyopo ilihali Maalim Seif kasimama Zenji kuwakilisha ukawa na dar wabunge kama mtatiro wapo na kwingineko na wana nguvu kubwa sana.Labda utakuwa mamluki uungane na prof
 
Hahaha....gia ya angani sitoisahau aisee ....hadi mwanasiasa niliyekuwa naapa mbele za watu kwa kumuamini kama Tundu Lissu anakaa meza moja na EL,Masha, Sumaye etc kisa ndio njia pekee ya kuiua CCM? sitosahau huu mzaha wa kihistoria kwenye siasa zetu .....

Hakuna adui wa kudumu kwenye siasa ndugu.Mwaka 2002 Kenya waliunganisha nguvu na wengine wakajitoa iliyokuwa KANU wakaunda muungano wa upinde na kuchukua nchi.Marekani Rais wa sasa alikuwa hapatani kabisa na makamu wake wa rais alokuja mteua bwana Joe Biden.Sasa wewe unashangaa hayo Leo?Au ndo unajifunza siasa??
 
Yaani hawa walioshindwa hata kutikisa hata mkutano mkuu huko CCM pamoja na kuapa kutachimbika? ...Leo kuchimbike wakiwa upande wa pili ? ....hoja hakuna, zaidi ya mbwembwe za bendera na mafuriko ambayo kama una akili japo za chekechea utajua si kura .....

Kura zipo za kutosha na watu hawalali maana wameshajua mabadiliko hayakwepeki.Hakuna utawala unaovuka miaka 40 ukiwa madarakani.Ni nyakati hata maandiko yanasema anayelijua hili wala hapingi.
 
Hahaha....gia ya angani sitoisahau aisee ....hadi mwanasiasa niliyekuwa naapa mbele za watu kwa kumuamini kama Tundu Lissu anakaa meza moja na EL,Masha, Sumaye etc kisa ndio njia pekee ya kuiua CCM? sitosahau huu mzaha wa kihistoria kwenye siasa zetu .....
Utakuwa mchanga sana kisiasa. Otherwise tangu tz ipate uhuru hatujawahickuwa na siasa tam km mwaka huu. Ni jambo jema sana kwacafya ya nchi yetu. Hivi unajua Prof lipumba na CUF walikuwa waungane na ACT km Slaa angepitishwa? Tungekuwa na halivmbaya sana leo! Au huelewi nini kilimfanya lipumba achukue form haraka kwenye chama chake wakati walikuwa na makubaliano ya kusimamisha mgombea mmoja? Think outside the box!
 
Kwa taarifa yako hii hamasa unayoiona leo isingekuwapov) km Dr Mihogo ndiye angekuwa anagombea!
 
Kwa akili yako huwezi kuelewa hata kidogo, labda muuluza kwanza Magufuli kwanini kaziiga zote mpaka kukataa Mdahalo

Haya majamaa mapumbavu sana, yaache tu ndugu yangu.Yanajifanya hayaelewi wakati mambo yako wazi kabisa.
 
Back
Top Bottom