chawa wa mama
JF-Expert Member
- Jun 8, 2020
- 292
- 1,083
Ndugu zangu,
Mlikuwa mnajitetea kuwa mmeminywa na wengine mkakimbia madeni mkasingizia mnataka kuuawa.
Sasa uwanja uko wazi, Nina hakika nyie kwa sasa mmelewa usingizi mzito, mnaenda Kulala usingizi wa jumla kwenye siasa.
Hamna hoja tena, mmekwisha kwa hoja. Ila pia muwe wastaarabu muache mambo yenu ya kujitekenya na kujicheka.
#mama Yuko kazini
#Tuna Imani na mama
Mlikuwa mnajitetea kuwa mmeminywa na wengine mkakimbia madeni mkasingizia mnataka kuuawa.
Sasa uwanja uko wazi, Nina hakika nyie kwa sasa mmelewa usingizi mzito, mnaenda Kulala usingizi wa jumla kwenye siasa.
Hamna hoja tena, mmekwisha kwa hoja. Ila pia muwe wastaarabu muache mambo yenu ya kujitekenya na kujicheka.
#mama Yuko kazini
#Tuna Imani na mama