Tunawahitaji wapinzani ili tuendelee

Tunawahitaji wapinzani ili tuendelee

incharge

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2011
Posts
5,781
Reaction score
9,662
Ndugu zangu tunaweza kuwa na itikadi ya vyama tofauti lakini kama watanzania, tumeona jinsi gani viongozi wetu wanafanya mambo ya hovyo na matendo ya kiufisadi na wizi wa mchana kweupe, lakini they are getting away with it , yote kwakuwa kuna system wamejijengea ya kulindana na si rahisi kuchukuliana hatua.

Tumeshuhudia wanyama wetu wakiibwa , mbuga zikiuzwa, nyumba za viongozi zikiuzwa oysterbay na badala yake viongozi kupangiwa hoteli, tumeshuhudia watumishi wa serikali wakichangishana hela ili kupitisha bajeti zao bungeni, tumeshuhudia wazazi wakikosa vitanda na kulala chini huku wskisibiri kujifungua, na wengine kufariki kwa kukosa huduma ya afya kisa tu hana fedha ya kulipia huduma za afya ili nayeye apate haki yake ya msingi ya kuishi na haya ni hapa hapa tunapopaita mjini dar-es-salaam najiuliza huko kijijini hali ikoje?na mengine mengi tuyaweke humu ili watanzania wenzetu wajue kuna mapungufu gani kwenye serikali yetu.

Naandika haya kwania moja tu ili tupate maendeleo na kubadilisha hali hii tunshitaji mabadiliko ya hali ya juu ingawa vyama vyetu vya upinzani vinaonyesha udhaifu mkubwa na kutufanya wananchi tujiulize mara mbili kama kweli hawa wapinzani wetu wana nia ya dhati ya kutukomboa.

Ombi langu kwa wapinzani mkae mjipime muangalie mmekosea wapi ili hayo mapungufu yenu muyarekebishe ccm bila ya changamoto hawawezi kufanya kazi, kwahiyo ongezeni pressure ili mambo yaende,
 
Haya tumekusikia nenda kawanunulie mchele wanao wafurahe pasaka,mwanaume kuwajibika sio umbea kama Bi Chau.
 
Hawa CCM ni MAFISADI, MAKABURU na INTARAHAMWE wa kupigiwa mfano na wameifanya nchi kuwa Kama wana Hati Miliki ya kutawala.
 
Ndugu zangu tunaweza kuwa na itikadi ya vyama tofauti lakini kama watanzania, tumeona jinsi gani viongozi wetu wanafanya mambo ya hovyo na matendo ya kiufisadi na wizi wa mchana kweupe, lakini they are getting away with it , yote kwakuwa kuna system wamejijengea ya kulindana na si rahisi kuchukuliana hatua.

Tumeshuhudia wanyama wetu wakiibwa , mbuga zikiuzwa, nyumba za viongozi zikiuzwa oysterbay na badala yake viongozi kupangiwa hoteli, tumeshuhudia watumishi wa serikali wakichangishana hela ili kupitisha bajeti zao bungeni, tumeshuhudia wazazi wakikosa vitanda na kulala chini huku wskisibiri kujifungua, na wengine kufariki kwa kukosa huduma ya afya kisa tu hana fedha ya kulipia huduma za afya ili nayeye apate haki yake ya msingi ya kuishi na haya ni hapa hapa tunapopaita mjini dar-es-salaam najiuliza huko kijijini hali ikoje?na mengine mengi tuyaweke humu ili watanzania wenzetu wajue kuna mapungufu gani kwenye serikali yetu.

Naandika haya kwania moja tu ili tupate maendeleo na kubadilisha hali hii tunshitaji mabadiliko ya hali ya juu ingawa vyama vyetu vya upinzani vinaonyesha udhaifu mkubwa na kutufanya wananchi tujiulize mara mbili kama kweli hawa wapinzani wetu wana nia ya dhati ya kutukomboa.

Ombi langu kwa wapinzani mkae mjipime muangalie mmekosea wapi ili hayo mapungufu yenu muyarekebishe ccm bila ya changamoto hawawezi kufanya kazi, kwahiyo ongezeni pressure ili mambo yaende,
mapungufu yapi?
 
Ndugu zangu tunaweza kuwa na itikadi ya vyama tofauti lakini kama watanzania, tumeona jinsi gani viongozi wetu wanafanya mambo ya hovyo na matendo ya kiufisadi na wizi wa mchana kweupe, lakini they are getting away with it , yote kwakuwa kuna system wamejijengea ya kulindana na si rahisi kuchukuliana hatua.

Tumeshuhudia wanyama wetu wakiibwa , mbuga zikiuzwa, nyumba za viongozi zikiuzwa oysterbay na badala yake viongozi kupangiwa hoteli, tumeshuhudia watumishi wa serikali wakichangishana hela ili kupitisha bajeti zao bungeni, tumeshuhudia wazazi wakikosa vitanda na kulala chini huku wskisibiri kujifungua, na wengine kufariki kwa kukosa huduma ya afya kisa tu hana fedha ya kulipia huduma za afya ili nayeye apate haki yake ya msingi ya kuishi na haya ni hapa hapa tunapopaita mjini dar-es-salaam najiuliza huko kijijini hali ikoje?na mengine mengi tuyaweke humu ili watanzania wenzetu wajue kuna mapungufu gani kwenye serikali yetu.

Naandika haya kwania moja tu ili tupate maendeleo na kubadilisha hali hii tunshitaji mabadiliko ya hali ya juu ingawa vyama vyetu vya upinzani vinaonyesha udhaifu mkubwa na kutufanya wananchi tujiulize mara mbili kama kweli hawa wapinzani wetu wana nia ya dhati ya kutukomboa.

Ombi langu kwa wapinzani mkae mjipime muangalie mmekosea wapi ili hayo mapungufu yenu muyarekebishe ccm bila ya changamoto hawawezi kufanya kazi, kwahiyo ongezeni pressure ili mambo yaende,

Ndugu yangu Incharge umeongea vizuri sana lakini wapinzani nguvu yao ipo kwenye kuungwa mkono na wananchi si kuongea tu majukwaani halafu tukawaacha, kazi wafanyayo wapinzani ni kubwa sana, ukizingatia hawana serikali wala lungu lolote. tuwaunge mkono kwa nguvu kubwa. Hawa Maccm wanatafuta vichaka vya kujificha kutokana na madhambi yao.
 
JamiiForuma imekuwa mali ya mafisadi, siyo chombo huru tena... eti hii ndo post wameirusha kwenye page yao ya facebook.
 
Back
Top Bottom