Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,798
- 71,218
Acheni kabisa kuwa fanya Watanzania ni wajinga na kuwa hawaelewi ya kuwa fedha ni zao lakini Bunge ndio linaidhinisha fedha zijenge Zahanati, barabara, madaraja, mikopo ya elimu nk nk.
Sasa hivi speed hiyo imekuwa kubwa "Rais JPM katoa fedha kuwajengea hospitali, katoa fedha kununua madawa ya mahospitali nk" kisha makofi mengi na vigelegele vya kufa MTU. Jee ni kutokuelewa hata hao wasemao au wametumwa kusema hivyo na wanahofu wasiposema watakosa kazi? Kwa nini watu na heshima zao mnasimama hadharani na kuwa puppet bila ya aibu?
La ajabu hawasemi huko vichochoroni bali hata mbele za wasomi ikiwamo hata ndani ya Bunge ambako ndio waliko idhinisha fedha hizo na mbele ya puppet namba moja Job Ndugai. Huyu ni mmoja ya maspika wanaoongoza kwa kutojifahamu Afrika, hakuna mfano wake kabisa.
Watanzania wanapaswa kuelimishwa kuwa fedha zote ni zao na zinaidhinishwa na Bunge na hata mshahara wa JPM anapangiwa alipwe nini sasa ayawezaje kutoa fedha za kujenga hospitali?
Sasa hivi speed hiyo imekuwa kubwa "Rais JPM katoa fedha kuwajengea hospitali, katoa fedha kununua madawa ya mahospitali nk" kisha makofi mengi na vigelegele vya kufa MTU. Jee ni kutokuelewa hata hao wasemao au wametumwa kusema hivyo na wanahofu wasiposema watakosa kazi? Kwa nini watu na heshima zao mnasimama hadharani na kuwa puppet bila ya aibu?
La ajabu hawasemi huko vichochoroni bali hata mbele za wasomi ikiwamo hata ndani ya Bunge ambako ndio waliko idhinisha fedha hizo na mbele ya puppet namba moja Job Ndugai. Huyu ni mmoja ya maspika wanaoongoza kwa kutojifahamu Afrika, hakuna mfano wake kabisa.
Watanzania wanapaswa kuelimishwa kuwa fedha zote ni zao na zinaidhinishwa na Bunge na hata mshahara wa JPM anapangiwa alipwe nini sasa ayawezaje kutoa fedha za kujenga hospitali?