Tunauza vifaranga wa asili na mayai

Tunauza vifaranga wa asili na mayai

MNFUMAKOLE

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2014
Posts
1,764
Reaction score
2,389
Tunao vifaranga wa asili na mayai ya asili. vifaranga wapo wa wiki mbili hadi miezi miwili. tupo morogoro mjini. kwa masiliano. 0769070257/ 0714 739914. karibuni sana
 

Attachments

  • IMG_20150123_085838.jpg
    IMG_20150123_085838.jpg
    256.1 KB · Views: 148
  • IMG_20150123_085830.jpg
    IMG_20150123_085830.jpg
    360.8 KB · Views: 145
Unapatikana Moro sehem gan? Na hao kuku wa mwez unawauzaje?
 
Unapatikana Moro sehem gan? Na hao kuku wa mwez unawauzaje?

napatikana maeneo ya kigurunyembe. kama unatoka mjini hushukia zahanati pandisha juu tupo karibu na panapo jengwa soko la kata ya kilakala 5000@
 
vifaranga wetu wamechanjwa New castler na Ndui karibuni sana.
 
pia tunapokea ordar kwa wanaohitaji kuku wengi. kama harusi. siku hizi watu hawapendi kula broiler. tafadhali wenye sherehe msiwalishe watu broiler. yani mtu akuchangie laki moja unashindwa hata kuku wa asili! ukute mtu mwenyewe hanywi hata pombe! hebu wafurahisheni wateja wenu! unaweza pata kuku hata kwa elfu kumi. karibuni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom