SOLD: Tunauza TV, Fridge , Home theatre, Sabwoofer, na vingine kama hivyo kwa BEI POA

Status
Not open for further replies.
b3f8318c0fad8298824d7d9e3fa1353a.jpg
 
home threat ni bei gani za makampuni zote
Mkuu home theatre nimeziposti kwenye posti za juu hapo ,

Ila kwa ufupi kuna Sony , Panasonic na LG. Niambie unapendelea ipi na watts ngapi ,

Ila zinaanzia laki tatu na mapaka mamilioni huko...

Karibu sana mkuu
 
Habari zenu wakuu

Poleni na majukumu.

Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, sisi ni kampni inayoitwa PRIDE ELECTRONICS , Tupo kariakoo Dar es salaam na mipango ya kuenea mikoani ipo.

Tunauza bidhaa zote za electronics kwa jumla na rejareja.

Brand zote zipo MO-ELECTRO, SONY,STAR-X, LG, SAMSUNG, VONHOTPOINT, HISENSE, BOSS, TCL,PANASONIC,SHARP na kadhalika na kadhalika

Karibuni sana sana sana

Number ya simu ni 0717016789

d55ce0aec4e5c6e261490088641f0ce9.jpg
a93be454a91929c9c1b7f8083626abb9.jpg
b66e541a69923dd1f5e27706dc0cbf10.jpg
e0883dc63ddcb702764749efb47d0fd3.jpg
7fcfd87da6f93d4e03f6e0c0dc19bfdc.jpg
740f457af6597811401bc30b810e341d.jpg
0f6a8b033eddd5e69070c4c40203d622.jpg
9a8306f3c785f0ad4dd5c39810c6b465.jpg
5c329c071d1dd34fa0633b89e06392ff.jpg
58828fddce5ecfcbb2204dd9254440e0.jpg
7973be353d8654fa0a9db5952b1f1afb.jpg
cc2da101faba90e9043075f01800dfc8.jpg
9e62a76ba94f695022fc89b95c929fa6.jpg
d83c1cf23c8aaece7bae617cd55aa2d2.jpg
8c572e420783869be967de2f4378f4e9.jpg
13027b81e89b3cc9d090208b11c024f9.jpg
fa059149d336d67fe5ce02c5cfcc9767.jpg
47bdbf29dc39ea1f46f0ddde267cffd1.jpg
842aee607514d59dab1d1ab0f326d99c.jpg
91ccec0b5cb16ed3a42e1a82904f4513.jpg


Hizo ni baadhi tu ya products za dukani kwetu. Unaweza kueleza hitaji lako na tukakupatia bei
0717016789
Jiko la gesi sahani 2 bei gani?
 
High Power Home Audio System with DVD

SHAKE-X10D

f776977db499bde5aa9c262d31ab57fa.jpg
9577ec0be60c2060676c13b61fe8ce1d.jpg
c12941534955a2c517a92e21089de018.jpg


Bei yake ni 1,650,000/-
 
Mkuu unaposema bei zinabadilika kila siku, sisi tunaelewa inabadilika kwa specific product
Mfano labda Tv Tcl inch 32 leo inaweza ikawa 200 Tsh na kesho ikawa 210 Tsh.

Hivyo ndivyo maelezo yako yanavyoeleweka.
I stand to be corrected.
Alichosema ni kweli. Bei za vitu sio constant. Zinabadilika kulingana na soko
 
Karibuni Dukani wakuu, tumefungua na sasa tupo wazi. Karibuni sana

a21fc165291c6e6d0256222e716ac28b.jpg
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom