Endekeza utoto tuMemory card 16GB bei gani?..hizo nyingine me bado mtoto.
Mkuu kwa hapa Dar unaweza kupeleka mzigo mpaka nyumbani kwa mteja?Njoo dukani mkuu. Hutakosa cha kuondoka nacho
Mkuu home theatre nimeziposti kwenye posti za juu hapo ,home threat ni bei gani za makampuni zote
Nimeipenda feni nichukulie basi!.Endekeza utoto tu
Hata ukikuwa utajikuta mtoto. Sorry
Mtu kaulize kama hiyo cooler ina remote250,000/ kesho nije
Poa mkuu ntakutafuta uniletee home theater moja kali sana huku BunjuNdio , unasema tu uko wapi tunakuletea mkuu.
Jiko la gesi sahani 2 bei gani?Habari zenu wakuu
Poleni na majukumu.
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, sisi ni kampni inayoitwa PRIDE ELECTRONICS , Tupo kariakoo Dar es salaam na mipango ya kuenea mikoani ipo.
Tunauza bidhaa zote za electronics kwa jumla na rejareja.
Brand zote zipo MO-ELECTRO, SONY,STAR-X, LG, SAMSUNG, VONHOTPOINT, HISENSE, BOSS, TCL,PANASONIC,SHARP na kadhalika na kadhalika
Karibuni sana sana sana
Number ya simu ni 0717016789
Hizo ni baadhi tu ya products za dukani kwetu. Unaweza kueleza hitaji lako na tukakupatia bei
0717016789
Alichosema ni kweli. Bei za vitu sio constant. Zinabadilika kulingana na sokoMkuu unaposema bei zinabadilika kila siku, sisi tunaelewa inabadilika kwa specific product
Mfano labda Tv Tcl inch 32 leo inaweza ikawa 200 Tsh na kesho ikawa 210 Tsh.
Hivyo ndivyo maelezo yako yanavyoeleweka.
I stand to be corrected.