INAUZWA Tunauza Simu, Music system, laptop na home Theater

Zipo 3 yaani center, front left na front right speakers, ni spika fupi hivyo hazichukui nafasi ya sebule yako. Zina tumia 3ohms kwa kila moja, og sumsung Tweeters, zipo vzr hazina tatizo lolote, bei ya zote3 ni sh 60,000 tu fixed price. Call 0734 680839 au 0714 513414
 
Zipo 3 yaani front left, front right na center speakers, sumsung brand original product, bei ya zote 3 ni 60,000 fixed price.

Piga 0714 513414 au 0734 680839, nipo Dar, karibuni sana.



Sent from my SM-J400F using JamiiForums mobile app
 
Ni mtumba wenye mziki mnene, ina am/fm redio tuner, aux support, tape, na speaker 2 kubwa zenye sound ya maana, sony og kabisa. Bei ni 220000 tu piga 0734 680839.

 
Kanunue subwofer mkuu huo mziki acha ulimuabisha broo enzi hizo aliweka kondom juu ya Kabati than anawageni anaowaheshimu ukumbini around 2004 mziki umefunguliwa kwa mbali ila hiyo base na twist unatupiamo kumbe kila mziki ukipiga kondom zinasogea mara paa zimeanguka kwa pamaja ya mgeni.
 
Matatizo ya kuzoea subwoofer za kichina ndio haya Sasa.
Mkuu usikariri gikra zako tu,nimeuza sana radio hizi za mtumba nazijua sana kuliko wewe.ilikuwa biashara yangu kubwa sana.sijasema sio nzuri nimesema zimepitwa na wakati.Kwa mfano tape sasa hivi zipo?
 
Mkuu usikariri gikra zako tu,nimeuza sana radio hizi za mtumba nazijua sana kuliko wewe.ilikuwa biashara yangu kubwa sana.sijasema sio nzuri nimesema zimepitwa na wakati.Kwa mfano tape sasa hivi zipo?
Kingine hazina hata Bluetooth mkuu
 
Ni mziki mnene, wenye sauti nzuri na mwanana, 3cd changer, fm/am tuner, aux support, tape support, ina speaker 2 ,quality sound, bei 230000 tu, piga 0734 680839 au WhatsApp no 0783 662495
Note: sehemu ya cd ina inahitaji matengenezo kidogo au kama una deck ya dvd utaunganisha na radio ,ni nzuri kwa matumizi kama vile nyumbani, sehemu ya biashara kama vile glossary, dukani, saloon, kuingiza nyimbo au studio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…