Nauza nguo za kike na kiume aina zote. Tunauza tsherts, mikanda, wallets, mashati, gauni, suruali n.k
Waweza fika dukani k/koo mtaa wa manyema mkabala na jengo la ddc, uone ni jinsi gani kupendeza kumerasishwa.
Pia kwa wateja wasio weza fika dukani kwetu kwa sababu zilizo nje ya uwezo wao, tunafanya uduma ya kupeleka mzigo popote pale. Uduma hii kwa wakazi wa Dar es salaam ni bule kabisa. Na kwa wateja walio nje ya mkoa wa Dar es salaam tunafanya huduma hii pia kwa gharama ya mteja.
Kwa mawasiliano waweza nitafuta kwa whatsapp no.0684085052 au kufollow account ya instagram
I'm on Instagram as @nguo_za_kike_na_kiume. Install the app to follow my photos and videos.
Instagram
Karibuni sana.
View attachment 1413720View attachment 1413721View attachment 1413722View attachment 1413723View attachment 1413724View attachment 1413725View attachment 1413727View attachment 1413728
Sent using
Jamii Forums mobile app