Nataka hicho kisanamu cha kushoto nna kazi nacho
Nataka hicho kisanamu cha kushoto nna kazi nacho
Fanya 36 niletee Gongolambo
Basi nikija dar ntatembelea ofisini kwenu mniuzie nguo
Gongolamboto sehem gani mkuu?Fanya 36 niletee Gongolambo
"corona ipo tuchukue tahadhari"
Karibu sana bossBasi nikija dar ntatembelea ofisini kwenu mniuzie nguo
Nataka hiyo ya kijivu picha ya pili ila na 19000 lete Makumbusho hapa mkuu.
Majohe
Sawa boss, naomba unitafute kwa namba hii 0684085052Majohe
"corona ipo tuchukue tahadhari"
ungefanya 20000 boss wangu, nitafute kwa namba ni hizi 0684085052Nataka hiyo ya kijivu picha ya pili ila na 19000 lete Makumbusho hapa mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo kule kwenye group umekuwa mtemi Sana hutaki watu wa comment
Acha udikteta dada hii ni biashara usichukiane na wateja
Wengine tumeleft huko Shaur ya utemi wako
Jamaa alikuchana live unauza Nguo zako bei kubwa Sana ukachukia
Si ungemuelewesha, Sasa na Mimi nakuchana live hapa ni remove Sasa...
Acha ubabe uchwara dada
Sent by IPhone
Ziko bomba mkuuElf 15000 tu zipo size na rangi tofauti tofautiView attachment 1413742View attachment 1413743View attachment 1413744View attachment 1413745
Sent using Jamii Forums mobile app