Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,511
- 40,601
Inachukua muda gani kutoka kupandwa hadi kuvuna matunda
1. Mko mkoa ganiJe Umeshtuka? Kama Bado Leo Nataka Nikuambie Kama Utapata Fursa Ya Kuwa Yule Unaetaka Kwenye Karne Hii Jitahidi Uwe Mkulima Wa Parachichi (HASS). Kilimo Cha Parachichi Kibiashara ni Uwekezaji Mzuri na Wenye Tija ya Muda Mrefu.
Ukitaka Kuhakikisha Hili Angalia Kilimo Cha Parachichi kwenye Mikoa Ya Njombe, Mbeya, Iringa, Kilimanjaro, Arusha, Tanga na Kagera.
Hapa utapata Kufahamu Ni kwanini Matajiri Wengi wanaopata Pesa Kwenye Kilimo Wanawekeza Sana Kwenye Mashamba ya Parachichi kwa Sasa.
Nafahamu unawaza Jinsi ya Kuanza. Tupo Kwaajili ya Kukupa Elimu Juu pa Kilimo Cha Parachichi za Kisasa, Pamoja na Kukuandalia Miche Itakayo kupa Matokeo ya Kihistoria.
Tupigie Leo 0752799673/ 0746850361. Tupo SUA Morogoro na Ulipo Tunakufikia.
View attachment 2691352
kwa hekar moja inacost kama 2.3mMkuu mimi nina eneo langu kama heka moja hivi na pia nina kisima lengo langu nilime nyanya sasa nautaka huu mfumo je ni bei gani?
🙏Je Unahitaji Kuwa Na Bustani Ya Mboga Nyumbani?
Ni rahisi sana, Lima Bustani Kisasa kwa Kutumia mfumo mdogo wa Umwagiliaji kwanjia ya Matone yaani Drip Irrigation Kit. Huu ni mfumo mdogo Ambao unakuwa n matuta 5 yenye urefu wa mita 10 kila moja. Hapa utaweza kuotesha Miche ya Mboga kati ya 200-250.
Sifa za mfumo huu ni Maji yanatumika kidogo, unajali muda, eneo Dogo unavuna mboga Nyingi. mfumo una sehemu ya kufunga na kufungulia maji, Hauhitaji fundi kwani inakufikia ikiwa imeunganishwa kila kitu, pia ni rahisi kuhamisha.
Tupigie Leo upate Drip Kit Yako kwa Bei ya Tsh Elfu 60 tu.
Call. 0752799673/0746850361.
View attachment 2694260
Usikubali Kupitwa Na Mvua Za Msimu Bila Kupanda Miti Shambani Kwako.
Msimu wa Mvua ni mzuri kwa upandaji wa miti ya matunda pamoja na Ile ya mbao kwani hupunguza gharama za umwagiliaji na mahitaji ya maji. panda Sasa kwani Hadi mvua zinakata mizizi inakuwa imeshika Ardhini vizur.
Pata Miche Ya Matunda Ya Muda Mfupi Aina Zote Kama Vile
Embe (aina zote)
chungwa
parachichi
limao
Ndimu
Chenza
pasheni
papai
stafeli
tope tope
chikichi
korosho
Pera n.k
Utapata miti mizuri kwa Bei ya tsh 2500 tu.
Miti ya Mbao pia ipo
mitiki
Mikangazi
misederera
mkongo n.k.
Piga simu Leo kwa 0752799673
Tupo Morogoro SUA.
View attachment 2099072View attachment 2099074View attachment 2099075