Salam Wadau
Tunapima & kuuza mapazia kwa style/design, rangi unayoipenda kwa sasa tunafanya shughuli zetu Dar es Salaam tu japo tuna mpango wa kufungua ofisi zetu sehemu nyingine hasa Arusha,Moshi na Nairobi. Karibuni sana.
Salam Wadau
Tunapima & kuuza mapazia kwa style/design, rangi unayoipenda kwa sasa tunafanya shughuli zetu Dar es Salaam tu japo tuna mpango wa kufungua ofisi zetu sehemu nyingine hasa Arusha,Moshi na Nairobi. Karibuni sana.
Somo Dogo tu:Salam Wadau
Tunapima & kuuza mapazia kwa style/design, rangi unayoipenda kwa sasa tunafanya shughuli zetu Dar es Salaam tu japo tuna mpango wa kufungua ofisi zetu sehemu nyingine hasa Arusha,Moshi na Nairobi. Karibuni sana.
Somo Dogo tu:
1. Mnapatikana dar es salaam sehemu/mtaa gani?
2. Mnapatikana kwenye namba/email au basi P.O.Box ipi?
3. Mnaweza kusupply "volume" kiasi gani per day/week/month?
4. Mna branches?