sijui kwa nini watoto wengi wakiachiwa mali na wazaz wao ufikiria kuuza na kutumia ela badala ya kuendeleza. museven alikuwa analalamika vijana wengi uganda wanauza mashamba ya ulisi na kununua bodaboda.jueni kwamba mkiuza mali mlizoachiwa mkagawana hizo ela mtakula zitaisha fasta. muwe mnafikiria kuungana na kuboresha na kutanua biashara. wazaz wenu waliangaika sana kupata hio mali. nyie mnauza. ni ushauri tu msikasirike
Kwa nini mnauza.........?
are you damn serious! Yaani who are you to question their family decision! you dont have to comment if you have nothing to say! Wameamua kuuza hotel yao kwa maamuzi ya family yao! Mtu unaanza kuponda eti wanataka kufuja Mibongo bwana!!!
hellow napenda kuwajulisha kuwa sisi tunauz hoteli wetu starlight hoteli
Hoteli ya Starlight iko katika moyo wa mji na moja kwa moja kinyume taifa letu kiburi Mnazi Moja Park, hii ni karibu na Bibititi Mohamed na Mitaani Uhuru. Upande mmoja ni kuonekana Mwenge Monument kujengwa mfano wa Mwenge wa Uhuru kuwekwa katika kilele cha Mlima. Kilimanjaro juu ya kufikia Tanzania ya uhuru. Upande wa pili wa Hifadhi ya ni Fountain Jamhuri, ambayo iliadhimisha msingi wa jamhuri mwaka 1962. tunauza kwasababu ni
Urithi, na pia tunauza pale pale holi mbili kubwa za harusi na nyimba ya gorofa mbilil sharti yetuhatutaki mtu wa kati na wakili ni babu yangu sharif ally abdallah kama kuwasiliana tafadhali 0654167472 Miss sara
dar es salaam zake katika
are you damn serious! Yaani who are you to question their family decision! you dont have to comment if you have nothing to say! Wameamua kuuza hotel yao kwa maamuzi ya family yao! Mtu unaanza kuponda eti wanataka kufuja Mibongo bwana!!!
Yah......ni vizuri kujua kwa nini anauza......so kama ni zengwe ununue tu kisa familia imeamua......? Je kama hiyo sehemu inapita barabara au nyumba ina madai inataka kupigwa mnada wewe ununue tu.......?
Yah......ni vizuri kujua kwa nini anauza......so kama ni zengwe ununue tu kisa familia imeamua......? Je kama hiyo sehemu inapita barabara au nyumba ina madai inataka kupigwa mnada wewe ununutu.......?
hellow napenda kuwajulisha kuwa sisi tunauz hoteli wetu starlight hoteli
Hoteli ya Starlight iko katika moyo wa mji na moja kwa moja kinyume taifa letu kiburi Mnazi Moja Park, hii ni karibu na Bibititi Mohamed na Mitaani Uhuru. Upande mmoja ni kuonekana Mwenge Monument kujengwa mfano wa Mwenge wa Uhuru kuwekwa katika kilele cha Mlima. Kilimanjaro juu ya kufikia Tanzania ya uhuru. Upande wa pili wa Hifadhi ya ni Fountain Jamhuri, ambayo iliadhimisha msingi wa jamhuri mwaka 1962. tunauza kwasababu ni
Urithi, na pia tunauza pale pale holi mbili kubwa za harusi na nyimba ya gorofa mbilil sharti yetuhatutaki mtu wa kati na wakili ni babu yangu sharif ally abdallah kama kuwasiliana tafadhali 0654167472 Miss sara
dar es salaam zake katika
Ungetumia lugha ya kiswahili ingetunufaisha wengi, si kila mtu anajua kiingereza.
Kama wasingetaka maswali kutoka kwa potential wateja basi wasingetangaza hadharani.
Sidhani kama kuna ubaya wowote mtu kutoa ushauri. Na ukiangalia kwa makini utabaini kuwa ushauri unatokana na kutojua sababu za kuuza, ndio maana kuna umuhimu wa kumjibu vema aliyeuliza kwa mnauza badala ya kumbeza
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums