Tunauza dagaa na samaki wa kukaanga

Tunauza dagaa na samaki wa kukaanga

CHRISSIE255

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2020
Posts
221
Reaction score
180
Heri ya mwaka mpya 2021.
LAKE FOOD PRODUCT SUPPLIER

Wauzaji na wasafirishaj wa samaki na dagaa waliokaangwa mikoani.
Jipatie dagaa safi wa mwanza waliokaangwa
Vizur na watamu Hawana michanga.
Kula dagaa kwa Bei
nafuu kabisa kwa matumiz ya nyumbani na
biashara package zipo za 200,500,1000,2000, na 5000
Sado 20000
Ndoo ndogo 35000
Ndoo kubwa 55000

Tunapatikana wilaya ya karatu iliyoko mkoa wa Arusha. kwa mawasiliano
zaidi 0717200471 na 0625406328 nyote
mnakaribishwa sana.karibu weka dukan,supermarket au sokon.

Tunauza jumla na rejareja. jumla pia tunauza kuanzia packt 50.

Mikoani tunasafirisha kwa gharama za mteja.

1610535233152.jpg
 
Heri ya mwaka mpya 2021.
LAKE FOOD PRODUCT SUPPLIER

Wauzaji na wasafirishaj wa samaki na dagaa waliokaangwa mikoani.
Jipatie dagaa safi wa mwanza waliokaangwa
Vizur na watamu Hawana michanga.
Kula dagaa kwa Bei
nafuu kabisa kwa matumiz ya nyumbani na
biashara package zipo za 200,500,1000,2000, na 5000
Sado 20000
Ndoo ndogo 35000
Ndoo kubwa 55000

Tunapatikana wilaya ya karatu iliyoko mkoa wa Arusha. kwa mawasiliano
zaidi 0717200471 na 0625406328 nyote
mnakaribishwa sana.karibu weka dukan,supermarket au sokon.

Tunauza jumla na rejareja. jumla pia tunauza kuanzia packt 50.

Mikoani tunasafirisha kwa gharama za mteja.

View attachment 1681779
Duh, Mnakaanga dagaa wakiwa na vichwa ?
 
Heri ya mwaka mpya 2021.
LAKE FOOD PRODUCT SUPPLIER

Wauzaji na wasafirishaj wa samaki na dagaa waliokaangwa mikoani.
Jipatie dagaa safi wa mwanza waliokaangwa
Vizur na watamu Hawana michanga.
Kula dagaa kwa Bei
nafuu kabisa kwa matumiz ya nyumbani na
biashara package zipo za 200,500,1000,2000, na 5000
Sado 20000
Ndoo ndogo 35000
Ndoo kubwa 55000

Tunapatikana wilaya ya karatu iliyoko mkoa wa Arusha. kwa mawasiliano
zaidi 0717200471 na 0625406328 nyote
mnakaribishwa sana.karibu weka dukan,supermarket au sokon.

Tunauza jumla na rejareja. jumla pia tunauza kuanzia packt 50.

Mikoani tunasafirisha kwa gharama za mteja.

View attachment 1681779
Je, hao wa buku 2 wana ujazo gani in grammes?
 
Sawa ziwa ni moja ila processing ya wale wa Bukoba ina involve Quality Control. Hawanaga mamichanga kama hao wa Mwanza
Nafikiri hilo linategemeana na wavuvi wenyewe. Na siyo mahali dagaa wanakotoka.
 
Sawa ziwa ni moja ila processing ya wale wa Bukoba ina involve Quality Control. Hawanaga mamichanga kama hao wa Mwanza
Hapana inategemeana na wavuvi wenyew umakin wao na wakaangaji hao hao
 
Nafikiri hilo linategemeana na wavuvi wenyewe. Na siyo mahali dagaa wanakotoka.

Branding mzee baba, makes the difference in marketing... cha ajabu ni kwamba mmoja hawezi kumuiga mwenzake.

Sijui ndo mnaita patent rules!

Mmoja anaanika juu ya majani, mwingine juu ya mchanga.
 
Heri ya mwaka mpya 2021.
LAKE FOOD PRODUCT SUPPLIER

Wauzaji na wasafirishaj wa samaki na dagaa waliokaangwa mikoani.
Jipatie dagaa safi wa mwanza waliokaangwa
Vizur na watamu Hawana michanga.
Kula dagaa kwa Bei
nafuu kabisa kwa matumiz ya nyumbani na
biashara package zipo za 200,500,1000,2000, na 5000
Sado 20000
Ndoo ndogo 35000
Ndoo kubwa 55000

Tunapatikana wilaya ya karatu iliyoko mkoa wa Arusha. kwa mawasiliano
zaidi 0717200471 na 0625406328 nyote
mnakaribishwa sana.karibu weka dukan,supermarket au sokon.

Tunauza jumla na rejareja. jumla pia tunauza kuanzia packt 50.

Mikoani tunasafirisha kwa gharama za mteja.

View attachment 1681779
Dagaa wa Mwanza,muuzaji yupo Arusha.Nimeelewa kwa nn Tanzanite ilikua inapatikana Tanzania lkn wauzaji walikua wasouth Africa na Wakenya.
 
Back
Top Bottom