Nakapanya
JF-Expert Member
- May 22, 2012
- 2,096
- 708
Mzee Mkapa alituachia zawadi ya uwanja mkubwa na wa kisasa wa michezo(shukrani ziende kwake).Tatizo kubwa ninaloliona sasa ni hizi shughuli za matamasha mbalimbali kufanyika katika uwanja huu,mfano Tamasha la pasaka,na sasa tamasha la matumaini,hivi kweli kwa mtindo huu uwanja wetu utadumu kweli?kwanini matamasha hayo yasifanyike kwenye uwanja wa uhuru(shamba la bibi)?,tuendako huu uwanja utakuwa kama wa jamhuri morogoro.NAWASILISHA.