Tunatimiza hii ahadi?

The great R

Senior Member
Jun 7, 2011
142
37
"Mimi TGR ninakuchukua wewe SSS kuwa mke wangu wa ndoa nina ahidi kukupenda na kukuheshimu,nitakufanyia fadhila na kukujali.nitakua pamoja na wewe katika shida na raha,magonjwa na afya,hadi kifo kitutenganishe,eeh mwenyezi Mungu nisaidie."
Vigelegele vikapigwa ,makofi matarumbeta yani full shangwe,lakini leo hii huyu aliye apa hapo mbele za Mungu na binadamu anafanya kama si yote basi mawili au matatu ya yafuatayo:

1. Uzinzi na uasherati
2. Yuko bize na marafiki kila weekend
3. Anachelewa kurudi home kila siku
4. Anakunywa pombe akirudi hana hata dk moja na mkewe
5. Tendo a ndoa hadi mkewe aombe
6. Hasali nyumbani,kanisani wala msikitini
7. Hana hata dk 2 na familia yake ili mradii kaacha matumizi basi
8. Kila analofanya kwa ajili ya familia ni yeye labda na watu baki ila si mkewe
9. Kutoa siri za ndani mwao
10. Kumteta na kumsengenya mwenzake kwa ndugu,jamaa na marafiki.

Hivi tunamchezea Mungu au?tunaona kuwa tupo duniani nakusahau kuwa ndoa ni mpango wa MUNGU na heshima inatakiwa iwepo ili tusihukumiwe adhabu.Jamani wenye ndoa tuheshimu ndoa zetu na wasiokua nayo tutakapoipata tufanye inavyopasa,tuuhurumiane.
 
"Mimi TGR ninakuchukua wewe SSS kuwa mke wangu wa ndoa nina ahidi kukupenda na kukuheshimu,nitakufanyia fadhila na kukujali.nitakua pamoja na wewe katika shida na raha,magonjwa na afya,hadi kifo kitutenganishe,eeh mwenyezi Mungu nisaidie."
Vigelegele vikapigwa ,makofi matarumbeta yani full shangwe,lakini leo hii huyu aliye apa hapo mbele za Mungu na binadamu anafanya kama si yote basi mawili au matatu ya yafuatayo:

1. Uzinzi na uasherati
2. Yuko bize na marafiki kila weekend
3. Anachelewa kurudi home kila siku
4. Anakunywa pombe akirudi hana hata dk moja na mkewe
5. Tendo a ndoa hadi mkewe aombe
6. Hasali nyumbani,kanisani wala msikitini
7. Hana hata dk 2 na familia yake ili mradii kaacha matumizi basi
8. Kila analofanya kwa ajili ya familia ni yeye labda na watu baki ila si mkewe
9. Kutoa siri za ndani mwao
10. Kumteta na kumsengenya mwenzake kwa ndugu,jamaa na marafiki.

Hivi tunamchezea Mungu au?tunaona kuwa tupo duniani nakusahau kuwa ndoa ni mpango wa MUNGU na heshima inatakiwa iwepo ili tusihukumiwe adhabu.Jamani wenye ndoa tuheshimu ndoa zetu na wasiokua nayo tutakapoipata tufanye inavyopasa,tuuhurumiane.
watu wengi wanaishi ktk ndoa kwa uzoefu tu kama ndoa zilizo salama basi ni chache sana mwana Jf
 
"Mimi TGR ninakuchukua wewe SSS kuwa mke wangu wa ndoa nina ahidi kukupenda na kukuheshimu,nitakufanyia fadhila na kukujali.nitakua pamoja na wewe katika shida na raha,magonjwa na afya,hadi kifo kitutenganishe,eeh mwenyezi Mungu nisaidie."
Vigelegele vikapigwa ,makofi matarumbeta yani full shangwe,lakini leo hii huyu aliye apa hapo mbele za Mungu na binadamu anafanya kama si yote basi mawili au matatu ya yafuatayo:

1. Uzinzi na uasherati
2. Yuko bize na marafiki kila weekend
3. Anachelewa kurudi home kila siku
4. Anakunywa pombe akirudi hana hata dk moja na mkewe
5. Tendo a ndoa hadi mkewe aombe
6. Hasali nyumbani,kanisani wala msikitini
7. Hana hata dk 2 na familia yake ili mradii kaacha matumizi basi
8. Kila analofanya kwa ajili ya familia ni yeye labda na watu baki ila si mkewe
9. Kutoa siri za ndani mwao
10. Kumteta na kumsengenya mwenzake kwa ndugu,jamaa na marafiki.

Hivi tunamchezea Mungu au?tunaona kuwa tupo duniani nakusahau kuwa ndoa ni mpango wa MUNGU na heshima inatakiwa iwepo ili tusihukumiwe adhabu.Jamani wenye ndoa tuheshimu ndoa zetu na wasiokua nayo tutakapoipata tufanye inavyopasa,tuuhurumiane.

Mimi mwenyewe ni muathirika wa hayo uliyoyataja hapo juu, nimevunja hizo amri sijui mara 1000.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom