Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 49,028
- 54,321
Bustani Ni Nzuri Sana
Hao Jamaa Wapo Vema Kumbuka Na Vat Imo
Bustani Ni Nzuri Sana
Eneo ninalotaka kuweka garden upana ni mita 2 urefu Mita 20. Nataka hayo majani tu bila maua. Naomba quotation.Mkuu kuna maeneo yanahitaji kuwekwa sawa na kujazwa udongo kabla ya kupandwa,bei inategemeana na jinsi eneo lako lilivyo.karibu mkuu
😀😁Eneo ninalotaka kuweka garden upana ni mita 2 urefu Mita 20. Nataka hayo majani tu bila maua. Naomba quotation.
Miti mliopanda humu kwa gardeni ni royal palm pekee au kuna mingine?True_garden_designers tunatengeneza garden/bustani nzuri za nyumbani,hotelini, shuleni,kanisani,na maofisini,zenye muonekano wa aina mbali mbali. Popote tunakufikia ndani ya Tanzania.
Tutafute kwa namba za simu
0687239674,0717580898
Whatsapp (0687239674,0717580898)
instagram@True_garden_designers
Hizi ni baadhi ya kazi zetu. View attachment 1506248View attachment 1506249View attachment 1506250View attachment 1506251
ipo mingine ni wewe tu kuchagua miti unayotaka ipandwe kwenye garden yakoMiti mliopanda humu kwa gardeni ni royal palm pekee au kuna mingine?
Mkuu piga picha tutumie whatsapp ili tujue maandalizi yake au tuelekeze tuje tulione.maana maeneo mengine yanahitaji kujazwa udongo kwanza ili yakae sawa.Eneo ninalotaka kuweka garden upana ni mita 2 urefu Mita 20. Nataka hayo majani tu bila maua. Naomba quotation.
Eneo liko flat.Mkuu piga picha tutumie whatsapp ili tujue maandalizi yake au tuelekeze tuje tulione.maana maeneo mengine unahitaji kujazwa udongo kwanza ili yakae sawa.
Imani tu hizi! Kuna sehemu moja huko Uganda watu waliokuwa wamepanda miti aina ya family (ipo kama miavuli hivi) waliikata haraka haraka baada ya familia mbili ziliyokuwa na miti ya aina hiyo kupatwa na misiba. By zen miti hiyo ilikuwa aina ngeni katika maeneo hayoBustani ni nzuri ukiwa na hela ila siku ukikosa hela inakuumbua siku hiyo hiyo. Wanasema bustani haipatani na maskini na ndio maana ukoka haustawi nyumba ya masikini, Hata ile miti ya miashoki kwa maskini haistawi
Sawa... Wewe unataka nyasi zipandwe tu halafu uendelee kuhudumia mwenyewe au unataka zikipandwa ihudumiwe mpaka hatua ya kupitisha mashine yaani zikatwe angalau mara moja ndo ukabidhiwe??Eneo liko flat.
Hiyo ni changamoto ambayo inatatulika,Zipo dawa za kupuliza na kuua kabisa mchwa.Kama udongo una mchwa mnafanyaje ili majani yaote vizuri?
Zipandwe tuSawa... Wewe unataka nyasi zipandwe tu halafu uendelee kuhudumia mwenyewe au unataka zikipandwa ihudumiwe mpaka hatua ya kupitisha mashine yaani zikatwe angalau mara moja ndo ukabidhiwe??
Njoo pm tuelewaneZipandwe tu
OkNjoo pm tuelewane
Karibu Sana mkuuShukrani Sana
Nami Leo Nikatie Nia Sehemu
Bei Yako Nimeiona!!
Location ununio,baada miezi mitatu bustani inaonekana hiviTrue_garden_designers tunatengeneza garden/bustani nzuri za nyumbani,hotelini, shuleni,kanisani,na maofisini,zenye muonekano wa aina mbali mbali. Popote tunakufikia ndani ya Tanzania.
Tutafute kwa namba za simu
0687239674,0717580898
Whatsapp (0687239674,0717580898)
Hizi ni baadhi ya kazi zetu. View attachment 1506248View attachment 1506249View attachment 1506250View attachment 1506251
Mkuu tusaidie majina ya hizo dawa kama hutajali manake mchwa ni changamoto kwa kweli hasa kwenye mbaoHiyo ni changamoto ambayo inatatulika,Zipo dawa za kupuliza na kuua kabisa mchwa.
Lete dili commission ipo.Aisee
Nikiwaletea Dili mchuzi wangu kihasi gani.