Tunatengeneza Apps za kwenye simu na systems za kwenye computer

Tunatengeneza Apps za kwenye simu na systems za kwenye computer

real G

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2013
Posts
5,227
Reaction score
5,303
Habari, kwa wale wanaotaka kutengenezewa application za kwenye simu tunafanya hivyo kwa bei reasonable, tunaanzia kwa tshs 500,000 kwa applications zenye basic features,
pia tunatengeneza website na systems, mfano ukitaka kutengenezewa system ya ku keep na ku track records za wagonjwa hospitalini kwako, wanafunzi wa shule yako, stock za kwenye biashara yako, wateja wako n.k
kwa anayetaka huduma anichek inbox

dunia inabadilika sasa hivi na technology ina take over na kurahisisha kazi, tubadilike nayo kwa maendeleo ya haraka zaidi
 
hadi raha sema unapiga gharama kubwa sana mkuu
hiyo 500,000 ni kwenye app, kutengeneza app kunahitaji resource sana mkuu, kwenye website na system inaweza kuwa chini ya hapo kulingana na mahitaji
 
Vipi usalama wa system mnazotengeneza, haziwezi kuingiliwa na wahuni?
 
Mimi nahitaji kutengenezewa website ile ya bure (blogspot.com) nayo ni shingapi? Nitumie majibu huku sms 0678895505
 
Habari, kwa wale wanaotaka kutengenezewa application za kwenye simu tunafanya hivyo kwa bei reasonable, tunaanzia kwa tshs 500,000 kwa applications zenye basic features,
pia tunatengeneza website na systems, mfano ukitaka kutengenezewa system ya ku keep na ku track records za wagonjwa hospitalini kwako, wanafunzi wa shule yako, stock za kwenye biashara yako, wateja wako n.k
kwa anayetaka huduma anichek inbox

dunia inabadilika sasa hivi na technology ina take over na kurahisisha kazi, tubadilike nayo kwa maendeleo ya haraka zaidi

Naomba kuwa mwanafunzi wako
 
Kama yuko anayejua kutengeneza website nimlipe its ok nichek 0678895505
 
Habari, kwa wale wanaotaka kutengenezewa application za kwenye simu tunafanya hivyo kwa bei reasonable, tunaanzia kwa tshs 500,000 kwa applications zenye basic features,
pia tunatengeneza website na systems, mfano ukitaka kutengenezewa system ya ku keep na ku track records za wagonjwa hospitalini kwako, wanafunzi wa shule yako, stock za kwenye biashara yako, wateja wako n.k
kwa anayetaka huduma anichek inbox

dunia inabadilika sasa hivi na technology ina take over na kurahisisha kazi, tubadilike nayo kwa maendeleo ya haraka zaidi
Hauna namba ya simu?
 
Back
Top Bottom