Ha ha ha ha ha hiyo biashara yako umesajili?Kajamaa kameambiwa kaweke samples kamelala mbele..!
Inaonekana ni "kapigaji"
Mie nilidhani kataalamu nikape tenda ya kunitengenezea app ya kutangaza na kuuza biashara yangu ya majeneza kumbe kaongo tu.
Weka namaba ya simu inayopatikana whatsapvyote tu Inategemea na App inatakiwa iweje ila Code from the scratch ndo sana sana
Ndiyo mkuu nimesajiri kabisa ni kampuni ambayo tunahusika na utengenezaji na usambazaji wa majeneza na vifaa vingine vya kuzikia,Ha ha ha ha ha hiyo biashara yako umesajili?

Shukrani!Ndiyo mkuu nimesajiri kabisa ni kampuni ambayo tunahusika na utengenezaji na usambazaji wa majeneza na vifaa vingine vya kuzikia,
Pia tunatoa huduma za kuosha maiti,kusafirisha maiti na kujenga makaburi ya kisasa pia kukarabati makaburi ya zamani. Tunapatikana Dom karibu sana mkuu.![]()
ile App haijatengenezwa From scratch Developer katumia ADROMO.kama unajua kuunda apps km djmwanga nitafute 0625533419
Budget yako bei gani,kuna kampuni ipo hapa hapa ipo vizuri kwnye mambo ya kutengeneza app za music na ni ya ndugu yangu.Anaeweza kuengeneza app kali ya music anicheck 0682384486
Nipe namba zako takuchekiBudget yako bei gani,kuna kampuni ipo hapa hapa ipo vizuri kwnye mambo ya kutengeneza app za music na ni ya ndugu yangu.