Tunatafuta mtu wa kudesign gazeti

Tunatafuta mtu wa kudesign gazeti

chears

Member
Joined
Jun 10, 2014
Posts
21
Reaction score
1
Natafuta mtu anayeweza kudesign gazeti,

Sifa
Awe ameshawahi kudesign gazetiii

Awe ana degree ya masscommunication au journalism'

Awe anajua uhandishii

Anayetaka piga mapema 0684591101 uliza charles
 
Mkuu kwa uzoefu wangu wa hizo ishu designers wazuri tz ambao wanaijua photoshop wengi hawana degree.Hao waliosoma mass com wengi sio watundu na wabunifu,kwa mantiki hiyo mara nyingi magazeti mengi huwa wanachukua designer na mtu wa kuhariri separate.

Ukitaka designer let me know,nina jamaa yangu alikuwa ana design magazine ya michezo ya Number10 la shafii Dauda na Edo kumwembe, magazine ya burudani inaitwa hot spot na magazine ya maswala ya uchumi linaitwa Resource.He is a freelancer so mtakubaliana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom