Hapa najiandaa kubeba mabegi angu kurudi mkoa ...nakumbuka tuu Maneno yako hakuna mwanafunzi ataekosa mkopo kama una Sifa lazima upate mkopo..leo imebaki story.. Mm binafsi siamin siasa hata siku moja... Ngoja nitafute maisha angu binafs lkn kuitegemea serikali kuhusu kusoma ni sawa na kuota ndoto za mchana....mkwele tutakukumbuka