Tunasambaza body spray za aina zote

Tunasambaza body spray za aina zote

Hizi Unazo? Price yake Tsh Ngapi?
PFUM.jpg
 
Ww unanitajia aina then tunafanya biashara .usafiri inategemea na umbali ila utachangia elfu 10000 tu au unaweza kuangalia uwezekano wakuzifuata kunduchi Dar es salaaam
Jifunze kiswahili kwanza, kama unasema unamletea mahali alipo yanini useme unapeleka pale mteja alipo sema utafuta kwa gharama zako
 
Jifunze kiswahili kwanza, kama unasema unamletea mahali alipo yanini useme unapeleka pale mteja alipo sema utafuta kwa gharama zako
Jifunze kuelewa kwanza ndooo ujibu so wote wenye uwezo wakupelekewa kutokana na ghalama so tunaweka unafuu wa kuchagua kwa muhitaji anaelewa nn anafanya
 
Mkuu naomba nikushauri, hiyo idadi ya Jumla iangalie mara mbili, pia garama za usafiri angalia Mara mbili pia
 
Tunapatikana kunduchi line police
Namba0627927909
Nikwajumla tu
Ni kwa Tsh 4000 tu unaletewa mahali ulipo
Kuanzia migo wa sh ngapi. Au hata nikihitaji kamoja kwa bei ya Jumla utaniletea huku chanika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom