Umechangia katika jukwaa na wewe hongera! Zanzibar kabla ya muungano kwani ilikuwa inapata wapi chakula? Hivi kujiona mko karibu na visiwa ndo mnajiona kiwa tuna njaa ya vitu kutoka kwenu? Vitu vinavyotoka kwenu vinafaida gani? Hebu nambie, mi naona ivo vitu ghali kuliko ukiagizia nje! Huijui zanzibar wewe na porojo zako, apo zamani vyakula zanzibar vinatoka bara la ASIA vinakuja apa na hei inakuwa poa mara 1000 kuliko yenu! Eti biashara ya used, wazanzibar ndo wenye biashara weweeeee!!!afu kuna wazenji wanahela chafu wapo uko wanakutunzeni msiokuwa na shukrani nyieee,,,,, nikuulize wewe hivi dunia nzima kuna mtu anahamu ya kukaa na WALEVI,WAVUTA BANGI,WASIOJUA MAANA YA USTAARABU,WAPENDA STAREHE,WATEMBEA UCHI NA WALIOKOSA HAYA NA HESHIMA?
Bado hujasema kitu ndugu