Tajiri la Bitcoin
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 1,087
- 643
- Thread starter
- #41
Hii inaitwa a competitive economyUCHUMI UMEKUWA AU UMEPUNGUA YANI KUONESHA WATU PESA HAKUNA MPAKA BUKU MNAOKOTA BENKI
Hii inaitwa a competitive economyUCHUMI UMEKUWA AU UMEPUNGUA YANI KUONESHA WATU PESA HAKUNA MPAKA BUKU MNAOKOTA BENKI
Hata mbuyu ulianza kama mchicha, Bank ikitaka kukupa mtaji lazima uwe na AkauntiKwahiyo shida Kwa Watanzania ilikuwa ni Tsh 10000 ya kufungua account?
Sasa hata akifungua account kwa hiyo 1000 na account ikabaki imesinzia haina mzunguko inamsaidia nini Mtanzania?
Kwa hiyo ukishakuwa na account tu basi hapo hapo bank hukupa mtaji.Hata mbuyu ulianza kama mchicha, Bank ikitaka kukupa mtaji lazima uwe na Akaunti
Kwa hiyo ukishakuwa na account tu basi hapo hapo bank hukupa mtaji.
Uko vizuri mchumi, Kadiri mambo yanavyozidi kunoga ndio Bei nazo zinashukaHii inaitwa a competitive economy