johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,980
- 141,996
Fanya utafiti binafsi kwa Watu wanaotarajia kugombea Uenyekiti wa Serikali za Mitaa na Wajumbe utagundua wameanza kumsifia sana Hayati Magufuli.
Sijajua kwa uhakika nini kinaendelea lakini Ole wao wale Mawaziri waliomtukana sana nao waanze kujipendekeza 2025.
Naendelea na utafiti wa kung'amua kisababishi.
Ramadan kareem!
Sijajua kwa uhakika nini kinaendelea lakini Ole wao wale Mawaziri waliomtukana sana nao waanze kujipendekeza 2025.
Naendelea na utafiti wa kung'amua kisababishi.
Ramadan kareem!