Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,144
- 159,061
Umesema ulishamtongoza, unachotaka kufanya sasa ni kumpitia tu ila unaheshimu dini!!Haina maana ya kufanya ngono ila hata kumtongoza mtu alie funga sio vizur unaweza muweka kwenye majaribu akaharibu funga yake