Tunaotumia Mysol tujuane hapa

Full charge

JF-Expert Member
Mar 1, 2018
1,550
1,422
Habari za jumapili hii wakuu,Huu ni mwaka wa pili naelekea kumaliza deni la mysol.

Binafsi niliamua kununua mtambo huu baada ya changamoto ya umeme wakati huo nahamia kwenye kibanda changu.

Lengo la uzi huu ni kubadilishana uzoefu juu ya mitamboo hii,moja ya vitu ambavyo naona wamefaulu hawa jamaa ni kama vile:mtambo kuwa na circuit breaker ambapo hujizima ikitokea tatizo.

Jambo lingine nimependa ni mtambo kuwa na netwek inawawezesha kuona matumizi yako ya umeme kama chaji ni ndogo wanakutumia ujumbe pia ikijaa wanakupongeza

NB:Nataka kujua uimara wa hii mitambo,je kuna jambo gani labda limejificha au kwa waliotumia muda mrefu je warranty yake yaweza kuwa miaka mingapi?
 
Ni moja kati ya Kampuni za Sola za Kitapeli,ni Kampuni ambayo ina Kesi nchi nzima,ni jambo la kawaida wafanyakazi wake kufurushwa na mapanga vijijini wanapoenda kutaka kuondoa kwa nguvu mitambo kutoka kwa wateja. Kwa kifupi ni Kampuni ya Matapeli ndio maana kila mwaka inabadilisha majina mara Mobisol,mara Engie mara Mysol nk. Ilikuwa inaongozwa na Mkurugenzi mpuuzi mmoja anaitwa Godfrey Mugambi na Dada Malaya mmoja anaitwa Veronika Kahama. Ukitaka njia za kuwaibia mitambo yao baada ya kuwalipa malipo ya awali(downpayment)njoo pm nikuelekeze,simple tu kuwapiga
Nina mabetri na mapaneli ya hiyo kampuni zaidi ya 20 niliwapiga nilivyokuwa Area Manager wao,nimeifunga kwenye mabanda yangu ya Kuku maana hata haiuziki kutokana na ubora,ni mitambo mibovu kuliko mitambo ya Kampuni zote za Sola Tanzania,uliingia cha kike kununua au kukopa mitambo ya Kampuni hii ya kitapeli ya Mysol
 
Ni moja kati ya Kampuni za Sola za Kitapeli,ni Kampuni ambayo ina Kesi nchi nzima,ni jambo la kawaida wafanyakazi wake kufurushwa na mapanga vijijini wanapoenda kutaka kuondoa kwa nguvu mitambo kutoka kwa wateja. Kwa kifupi ni Kampuni ya Matapeli ndio maana kila mwaka inabadilisha majina mara Mobisol,mara Engie mara Mysol nk. Ilikuwa inaongozwa na Mkurugenzi mpuuzi mmoja anaitwa Godfrey Mugambi na Dada Malaya mmoja anaitwa Veronika Kahama. Ukitaka njia za kuwaibia mitambo yao baada ya kuwalipa malipo ya awali(downpayment)njoo pm nikuelekeze,simple tu kuwapiga
Nina mabetri na mapaneli ya hiyo kampuni zaidi ya 20 niliwapiga nilivyokuwa Area Manager wao,nimeifunga kwenye mabanda yangu ya Kuku maana hata haiuziki kutokana na ubora,ni mitambo mibovu kuliko mitambo ya Kampuni zote za Sola Tanzania,uliingia cha kike kununua au kukopa mitambo ya Kampuni hii ya kitapeli ya Mysol
Pole kwa frustration. Unatamba hadharani kumwibia mwajiri wako?! Siku zote umekuwa ukitambia wizi wako dhidi ya Mysol. Mimi kuna mahali nilifunga solar yao na huu ni mwaka wa nne inadunda fresh tu.
 
Pole kwa frustration. Unatamba hadharani kumwibia mwajiri wako?! Siku zote umekuwa ukitambia wizi wako dhidi ya Mysol. Mimi kuna mahali nilifunga solar yao na huu ni mwaka wa nne inadunda fresh tu.
Uongo mkubwa. Mie nilifunguwa ni mbovu mbovu.sishauri mtu mwenye akiri kununua uchafu huu
 
Ni moja kati ya Kampuni za Sola za Kitapeli,ni Kampuni ambayo ina Kesi nchi nzima,ni jambo la kawaida wafanyakazi wake kufurushwa na mapanga vijijini wanapoenda kutaka kuondoa kwa nguvu mitambo kutoka kwa wateja. Kwa kifupi ni Kampuni ya Matapeli ndio maana kila mwaka inabadilisha majina mara Mobisol,mara Engie mara Mysol nk. Ilikuwa inaongozwa na Mkurugenzi mpuuzi mmoja anaitwa Godfrey Mugambi na Dada Malaya mmoja anaitwa Veronika Kahama. Ukitaka njia za kuwaibia mitambo yao baada ya kuwalipa malipo ya awali(downpayment)njoo pm nikuelekeze,simple tu kuwapiga
Nina mabetri na mapaneli ya hiyo kampuni zaidi ya 20 niliwapiga nilivyokuwa Area Manager wao,nimeifunga kwenye mabanda yangu ya Kuku maana hata haiuziki kutokana na ubora,ni mitambo mibovu kuliko mitambo ya Kampuni zote za Sola Tanzania,uliingia cha kike kununua au kukopa mitambo ya Kampuni hii ya kitapeli ya Mysol
Aiseeee
 
Ni moja kati ya Kampuni za Sola za Kitapeli,ni Kampuni ambayo ina Kesi nchi nzima,ni jambo la kawaida wafanyakazi wake kufurushwa na mapanga vijijini wanapoenda kutaka kuondoa kwa nguvu mitambo kutoka kwa wateja. Kwa kifupi ni Kampuni ya Matapeli ndio maana kila mwaka inabadilisha majina mara Mobisol,mara Engie mara Mysol nk. Ilikuwa inaongozwa na Mkurugenzi mpuuzi mmoja anaitwa Godfrey Mugambi na Dada Malaya mmoja anaitwa Veronika Kahama. Ukitaka njia za kuwaibia mitambo yao baada ya kuwalipa malipo ya awali(downpayment)njoo pm nikuelekeze,simple tu kuwapiga
Nina mabetri na mapaneli ya hiyo kampuni zaidi ya 20 niliwapiga nilivyokuwa Area Manager wao,nimeifunga kwenye mabanda yangu ya Kuku maana hata haiuziki kutokana na ubora,ni mitambo mibovu kuliko mitambo ya Kampuni zote za Sola Tanzania,uliingia cha kike kununua au kukopa mitambo ya Kampuni hii ya kitapeli ya Mysol
Huyu hapa chini ndo mpuuzi wa kuitwa Godfrey au Malaya wa kuitwa Veronika??👇👇
Mm nimewahi kuwa manager ktk kampuni hi
 
Uongo mkubwa. Mie nilifunguwa ni mbovu mbovu.sishauri mtu mwenye akiri kununua uchafu huu
Acha kuharisha baada ya kunywa mataputapu. Utaniambiaje kuwa nasema uongo kana kwamba nilichofungiwa mimi ndicho ulichofungiwa wewe. Hapa mimi nilichoeleza kuwa nimefungiwa na Mobisol/Mysol na kinafanya kazi vizuri huu mwaka wa nne ndiyo ukweli wangu ninaoujua na wewe ulipaswa kuzungumzia kile ulichofungiwa wewe kama wewe. Ila siyo kuniambia kuwa nasema uongo. Haya basi nilichofungiwa na mimi ni kibovu kama cha kwako pengine that's what you'll be pleased to hear.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom