Deeboyfrexh
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 3,422
- 5,594
Habari wana Jf,
Mimi hupendelea burudani ya muziki mara nyingi nipatapo muda wa kupumzika,au hata safarini na huwa nafurahia nyimbo za aina zote ilimradi ziwe nzuri.Kwa muziki wa nyumbani siusikilizi sana siku hizi tofauti na kipinde kile enzi bongo records ikiwa active.
Isipokuwa kuna aina flani ya muziki ambao nauhusudu sana kwa sasa ila sijui unaitwaje na kwa nini auchukuliwi serious zaidi.
Sample ni nyimbo kama:
1. Mwasiti-Promise
2. Banana zoro-Presha Presha
3.Tid-Nyota yako
4. Ben pol-Samboira
5. Maunda zoro-Niwe wako
6. Papii Kocha-Seya
7. Ommy dimpoz-Nani kama mama
8. Tid-Kiuno
9. Christan bella-yako wapi mapenzi
10. At ft starah thomas-nipigie
11.Tid-Raha
Kwa uchache,mahadhi ya hizi nyimbo yananikosha sana kwa ambao pia mnazipenda hebu tupieni nyingine zinazoendeana na hizi niongeze library ya mziki mzuri.
Mimi hupendelea burudani ya muziki mara nyingi nipatapo muda wa kupumzika,au hata safarini na huwa nafurahia nyimbo za aina zote ilimradi ziwe nzuri.Kwa muziki wa nyumbani siusikilizi sana siku hizi tofauti na kipinde kile enzi bongo records ikiwa active.
Isipokuwa kuna aina flani ya muziki ambao nauhusudu sana kwa sasa ila sijui unaitwaje na kwa nini auchukuliwi serious zaidi.
Sample ni nyimbo kama:
1. Mwasiti-Promise
2. Banana zoro-Presha Presha
3.Tid-Nyota yako
4. Ben pol-Samboira
5. Maunda zoro-Niwe wako
6. Papii Kocha-Seya
7. Ommy dimpoz-Nani kama mama
8. Tid-Kiuno
9. Christan bella-yako wapi mapenzi
10. At ft starah thomas-nipigie
11.Tid-Raha
Kwa uchache,mahadhi ya hizi nyimbo yananikosha sana kwa ambao pia mnazipenda hebu tupieni nyingine zinazoendeana na hizi niongeze library ya mziki mzuri.