mbona mwaka 2015 siyo tu walipiga wengine walipigiwa kura kabisa. sijajibiwa maswali yangu..mna support vipi? wakenya mnawaambia chagua uhuru kenyatta? hii inatokea hizi pande za kwetu tu. mambo ya ngoswe mwachieni ngoswe. siyo akili kuingilia ugomvi wa nyumba ya pili na kuchagua side