SOKO LA MAGARI
Senior Member
- Oct 26, 2014
- 115
- 66
TUNANUNUA MAGARI YA ZAMANI.
1. Iwe TOYOTA SALOON car tu.
2. Namba "A" na "B".
3. Iwe imetunzwa vizuri.
4. Iwe na Body lililonyooka.
5. Isiwe imepata ajali ya kuanguka na kuumiza Body.
6. Iwe na Card Original na Document zote husika za kodi.
7. Isiwe na deni kubwa la TRA.
8. Malipo ni kwa Cash yaani papo kwa hapo kwa wale wenye HARAKA.
9. Isiwe ilishawahi kufungwa/Kufunguliwa Engine.
10. Bei ni maelewano lakini isizidi shilingi 4,200,000/=
11. Iwe maeneo ya Dar es salaam au karibu na Dar es salaam
12. Engine isizidi cc 1800, iwe na cylinder (Piston) 4.
13. Isiwe ilishawahi kuwa Taxi.
14. Tutahitaji picha za kutosha kabla ya kuja kuiona.
MAWASILIANO PM TUPO KARIAKOO