Tunanunua Light Speckled Kidney Beans (Oval Shape)

Tunanunua Light Speckled Kidney Beans (Oval Shape)

Joined
Jun 14, 2010
Posts
63
Reaction score
43
Zinahitajika Kontena nne (4) za maharage yenye picha na sifa zifuatazo:


Light-Speckled-Kidney-Beans-Oval-Shape-.jpg


  • Light Speckled Kidney Bean (long shape)
  • Ukubwa: 220-240pcs/100g
  • Admixture 0.4% max // imperfect grains 6% max //moisture 16% max

Kwa mwenye taarifa za wapi naweza kupata mzigo wa kutosha au mwenye maharage haya tuwasiliane kupitia marukuvanilla at gmail.com

cc: Wajasiriamali Makini wa JF Malila, Kubota, Coturnix, Chasha, mito, Mrimi, Franky, CONSULT, Nyenyere, Mvaa Tai, MILLIONS MOVEMENT
 

Attachments

  • Light-Speckled-Kidney-Beans-Oval-Shape-.jpg
    Light-Speckled-Kidney-Beans-Oval-Shape-.jpg
    47.7 KB · Views: 126
Last edited by a moderator:
mkuu haya maharage unaweza kuyapata lushoto au Mtega kilosa morogoro, ingawa huwezi kupata single source ya kutosha order quantity

This type of business needs a formal type of contract farming to make it reliable and to meet delivery standards
 
mkuu haya maharage unaweza kuyapata lushoto au Mtega kilosa morogoro, ingawa huwezi kupata single source ya kutosha order quantity

This type of business needs a formal type of contract farming to make it reliable and to meet delivery standards

Haya maharage kuyapata kwa wingi sehemu moja ni mbinde mkuu. Je yaweza kuwa tenda ya kudumu kaka tuingie chaka?
 
Haya maharage kuyapata kwa wingi sehemu moja ni mbinde mkuu. Je yaweza kuwa tenda ya kudumu kaka tuingie chaka?
Nimekuwa nikipata walau order mbili kwa mwaka bila kuzifanyia kazi. Mwaka huu tena nimepata kutoka Yemen si chini ya Buyers wawili. Ndo maana nikaona nisidharau bali nichangamkie fursa. Hivyo siwezi kuthibitisha kama soko ni la uhakika na la kudumu au lah! Ila ninavyohisi mahitaji yanaweza kuwa ni ya kudumu
 
Nimekuwa nikipata walau order mbili kwa mwaka bila kuzifanyia kazi. Mwaka huu tena nimepata kutoka Yemen si chini ya Buyers wawili. Ndo maana nikaona nisidharau bali nichangamkie fursa. Hivyo siwezi kuthibitisha kama soko ni la uhakika na la kudumu au lah! Ila ninavyohisi mahitaji yanaweza kuwa ni ya kudumu

Jaribu kuwauliza hao jamaa, maharage hayo wao wanataka kwa kazi gani hasa?
 
Wa ndugu, naulizia wapi naweza kupata maharage yanayoitwa Sugar Beans. Kuna mtu anahitaji.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom