Tunanunua chuma chakavu

Tunanunua chuma chakavu

Ommy 7

Senior Member
Joined
Oct 12, 2018
Posts
139
Reaction score
78
1000659345.jpg
 
Hii biashara iko poa mno .... kuna mwanangu anapiga somewhere... ananunua vyuma chakavu, na zile waste za aluminium!!!!! Ndani ya miaka mitano jamaa kalipuka si mchezo !!!!

Ananunua anarundika store, mzigo ukiwa mkubwa ndo anauza ! Anazo boxer kama 3 ameajiri vijana wanazunguka kwenye site za mafundi aluminium kununua mazaga
 
Back
Top Bottom