Hii biashara iko poa mno .... kuna mwanangu anapiga somewhere... ananunua vyuma chakavu, na zile waste za aluminium!!!!! Ndani ya miaka mitano jamaa kalipuka si mchezo !!!!
Ananunua anarundika store, mzigo ukiwa mkubwa ndo anauza ! Anazo boxer kama 3 ameajiri vijana wanazunguka kwenye site za mafundi aluminium kununua mazaga