STABLE GIRL
Member
- Feb 7, 2011
- 19
- 2
Jamani watanzania tuamke!!! Gharama za maisha zimepanda. Hapo ni mwanzo tu bado bunge letu tukufu halijakaa kupanga bajeti ya 2011/2012. Hivi kweli tutafika? Jamani tufikiri tusije tukafikia walipofikia wenzetu wamisri?