Majanga!!!!!-majanga!!!!!-majanga!!!! Mara mv bukoba!!, mara ajali ya treni dodoma!!!,.... ajali za barabara kibao!!!, ...mabomu g/mboto 1!!!!!,....mabomu mbagala!!!, ...arusha trajedies!!!!, .....uchaguzi mkuu wa 31.10.2010 uliojaa uchakachukuaji wa wabunge batili 19 na rais batili!!!!,...rais kulindwa na majini!!!!, ....rais kuanguka kila leo!!!!, ...IPTL!!!!, .....richmond!!!, .....dowans!!!!,.......epa!!!!, .....kagoda!!!!,....RA/ENL/AC!!!!!,.....form4 88% failure!!! .....ongezeko kubwa la umasikini katika miaka 5 iliyopita!!!,....kuchakachua kanuni za bunge!!!,.....spika wa ajabu!!!!!!, .....mabomu g/mboto 2!!!!,......taifa kupoteza matumaini na mwelekeo kimaadili!!!!, umeme migao kibao!!!!!,...maji shida!!!!!,...... na mengineyo mengi mengi mengi!!!!!!!!!!!
Hivi kweli tutafananaje katika Jumuia ya A Mashariki????????????????