Useme pia mnakwenda na wahuni ambao wamemtanguliza mbele huyo mama wa watu, na wenuewe wamejificha nyuma yake.
Kiufupi wahuni siyo watu wazuri hata kidogo. Yaani wanawagawia nyinyi wajinga baiskeli, halafu wenyewe wanachukua makaa ya mawe, gesi, almasi, mbuga za wanyama, bandari, nk.