Hii Riba ni kwa Mwezi, kwa mwaka ama kwa kipindi gani?Kwa anaehitaj mkopo wa pesa tunakoposha sharti ni kadi na gar na huo mkopo riba asilimia 30.
Hakika Mungu ni Mwema.Mungu Ni Mwema Wakati Wote
WIZI MTUPU.Kwa anaehitaj mkopo wa pesa tunakoposha sharti ni kadi na gar na huo mkopo riba asilimia 30.
Pia nasikia kuna ushirikina ndani yake. Utajitahidi kwa mbinu zote kutaka kulipa deni lakini utashindwa.Watu wengi wamepoteza gari na nyumba zao kwa mikopo ya kimagumashi kama hii maana ukipitiliza kidogo tu muda wa kulipa umekwisha lakini isitoshe hawa wakopeshaji wamekuwa wakifanya ujanja ili usiweze kulipa deni lako maana ule muda mliokubaliana hutampata ili muda upite uone kivumbi(kunyang'anywa dhamana uliyoweka)
Watu wengi wamepoteza gari na nyumba zao kwa mikopo ya kimagumashi kama hii maana ukipitiliza kidogo tu muda wa kulipa umekwisha lakini isitoshe hawa wakopeshaji wamekuwa wakifanya ujanja ili usiweze kulipa deni lako maana ule muda mliokubaliana hutampata ili muda upite uone kivumbi(kunyang'anywa dhamana uliyoweka)
Nafahamu kua Vinabaki,Gar na kad vinabak riba ya mwez
Hapana Mkuu,Hizo Kina KISANGA na MASAWE Wamewapiga watu sana.Kwa kuwa sio crdb au nmb