Tunakoelekea uchumi unaenda kufa

Tunakoelekea uchumi unaenda kufa

Kila dalili zinaonesha tunaingia kwenye socialist ecomic system ambayo inaua uchumi, maana yake ni kwamba baada ya mwaka au miwili hivi mabenk yatakosa ukwasi na kujifunga automatically.

Kwa wachumi wamenielewa. Ni hayo tu kwa leo nitaendela kutoa somo
Kauli huumba!. Tumia affirmation kutoa kauli njema kuumba mema!.

P.
 
kazi kwelikweli ku raise income hata kama una mtaji na akili. tatizo linakuja kwa walaji ambao sasa wako very careful katika kutumia. miradi mingi na biashara nyingi zinasuasua mno. Kuuza ni kazi sana. ukitaka kujua kuna shida cchunguza sekta ya ujenzi hasa nyumba za watu binafsi. chunguza pia mauzo ya viwanja, nyumba na mashamba.
 
Back
Top Bottom