Tunaishi na watu wasio na vipaumbele

Tunaishi na watu wasio na vipaumbele

dorge

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2025
Posts
239
Reaction score
368
Jamii za sisi binadam ni watu wa ajabu kabisa. Unashangaa mtu anasukuma IST au Volti. Anapaki msikitini. Mwingine anaishi kwenye nyumba yake safi na ameshanunua gari anamtoto mmoja. Wewe umejihangaisha unaishi kwako watoto watano. Mmoja amemaliza wanne unasomesha wanaondoka na magari ya njano asubuhi.

Cha ajabu binadam anakuletea dharau sababu tu hujalipa gari kipaumbele.

Japo unatamani uharakishe Ili mtoto akizidiwa iwe rahisi kumuwahisha hospitalini. Lakini kutokana na changamoto hujamudu kuvuta gari. Tena haswa tunayopenda kuagiza kwa majapani moja kwa moja.

Jamii inakuchukulia dhaifu. Jamii haina aibu, unapolipia watoto million of money. Anakuja mtu anakudharau.

Ukicha hao. Kuna wale vijana katika ndg wa hizi familia Pana. Watoto wa kiume watajipendekeza kwako ukiwa unapaki gari nje. Utaona wanashoboka sana.

Ukiwa huna hiyo iD hutamuona hata mmoja. Sasa utasikia kwani Dorge hajanunua gari bado? Tunaishi na jamii za watu wa ajabu sana, wasio na vipaumbele. Kuishi kwa tamaa. Nilishuhudia wazee watatu waliostaafu kijiweni kwangu. Walinunua magari baada ya kistaafu
 
Unaishi kwa presha za waja mkuu? Utafika mbinguni unajiburuta nakwambia
Si muda mrefu,kila familia itamiliki gari/magari yao binafsi.Ni kama suala la simu lilivyokuwa hapo awali.Na,iwekwe kwenye shajara,"mama" ametusanua kwamba uchumi wa nchi upo kwenye races kali amongst mataifa beberu kama USA na European countries/Union.
 
Jamii za sisi binadam ni watu wa ajabu kabisa. Unashangaa mtu anasukuma IST au Volti. Anapaki msikitini. Mwingine anaishi kwenye nyumba yake safi na ameshanunua gari anamtoto mmoja. Wewe umejihangaisha unaishi kwako watoto watano. Mmoja amemaliza wanne unasomesha wanaondoka na magari ya njano asubuhi.

Cha ajabu binadam anakuletea dharau sababu tu hujalipa gari kipaumbele.

Japo unatamani uharakishe Ili mtoto akizidiwa iwe rahisi kumuwahisha hospitalini. Lakini kutokana na changamoto hujamudu kuvuta gari. Tena haswa tunayopenda kuagiza kwa majapani moja kwa moja.

Jamii inakuchukulia dhaifu. Jamii haina aibu, unapolipia watoto million of money. Anakuja mtu anakudharau.

Ukicha hao. Kuna wale vijana katika ndg wa hizi familia Pana. Watoto wa kiume watajipendekeza kwako ukiwa unapaki gari nje. Utaona wanashoboka sana.

Ukiwa huna hiyo iD hutamuona hata mmoja. Sasa utasikia kwani Dorge hajanunua gari bado? Tunaishi na jamii za watu wa ajabu sana, wasio na vipaumbele. Kuishi kwa tamaa. Nilishuhudia wazee watatu waliostaafu kijiweni kwangu. Walinunua magari baada ya kistaafu
Hata wewe ni mtu wa ajabu mbona umeshangaa mtu mwenye nyumba na gari lakini ana mtoto mmoja
 
Unawekeza kwenye binadamu....elimu ya Bei wastani IPO mengine NI maisha yako...hio elimu usidhani nddio itaamua mafanikio ya mwanao...enjoy
 
Jamii za sisi binadam ni watu wa ajabu kabisa. Unashangaa mtu anasukuma IST au Volti. Anapaki msikitini. Mwingine anaishi kwenye nyumba yake safi na ameshanunua gari anamtoto mmoja. Wewe umejihangaisha unaishi kwako watoto watano. Mmoja amemaliza wanne unasomesha wanaondoka na magari ya njano asubuhi.

Cha ajabu binadam anakuletea dharau sababu tu hujalipa gari kipaumbele.

Japo unatamani uharakishe Ili mtoto akizidiwa iwe rahisi kumuwahisha hospitalini. Lakini kutokana na changamoto hujamudu kuvuta gari. Tena haswa tunayopenda kuagiza kwa majapani moja kwa moja.

Jamii inakuchukulia dhaifu. Jamii haina aibu, unapolipia watoto million of money. Anakuja mtu anakudharau.

Ukicha hao. Kuna wale vijana katika ndg wa hizi familia Pana. Watoto wa kiume watajipendekeza kwako ukiwa unapaki gari nje. Utaona wanashoboka sana.

Ukiwa huna hiyo iD hutamuona hata mmoja. Sasa utasikia kwani Dorge hajanunua gari bado? Tunaishi na jamii za watu wa ajabu sana, wasio na vipaumbele. Kuishi kwa tamaa. Nilishuhudia wazee watatu waliostaafu kijiweni kwangu. Walinunua magari baada ya kistaafu
Binadamu ana akili sana lakini binadamu huyo huyo ni mvivu wa kufikiri hata hivyo uwezo wake wa kufikiri huongezeka kutokana na mazingira aliyopo na elimu dunia, ( life learning skills),hata elimu toka mifumo maalum
 
Jamii za sisi binadam ni watu wa ajabu kabisa. Unashangaa mtu anasukuma IST au Volti. Anapaki msikitini. Mwingine anaishi kwenye nyumba yake safi na ameshanunua gari anamtoto mmoja. Wewe umejihangaisha unaishi kwako watoto watano. Mmoja amemaliza wanne unasomesha wanaondoka na magari ya njano asubuhi.

Cha ajabu binadam anakuletea dharau sababu tu hujalipa gari kipaumbele.

Japo unatamani uharakishe Ili mtoto akizidiwa iwe rahisi kumuwahisha hospitalini. Lakini kutokana na changamoto hujamudu kuvuta gari. Tena haswa tunayopenda kuagiza kwa majapani moja kwa moja.

Jamii inakuchukulia dhaifu. Jamii haina aibu, unapolipia watoto million of money. Anakuja mtu anakudharau.

Ukicha hao. Kuna wale vijana katika ndg wa hizi familia Pana. Watoto wa kiume watajipendekeza kwako ukiwa unapaki gari nje. Utaona wanashoboka sana.

Ukiwa huna hiyo iD hutamuona hata mmoja. Sasa utasikia kwani Dorge hajanunua gari bado? Tunaishi na jamii za watu wa ajabu sana, wasio na vipaumbele. Kuishi kwa tamaa. Nilishuhudia wazee watatu waliostaafu kijiweni kwangu. Walinunua magari baada ya kistaafu
Ishi maisha yako achana na watu
 
Back
Top Bottom