1. Kwa mara ya kwanza Tanzania ( na kwa kuweka historia) wanafunzi wa darasa la saba wafanya mitihani
kwa kujibu majibu yaliyo sahihi tuuu ( tofauti na miaka ya nyuma).
Je hii ina maana kuwa waalimu au wasahihishaji wetu wamechoka kusoma majibu ya kujielezea?
Je hii ina maana watoto wetu wanaomaliza elimu ya msingi hawajui kujielezea hivyo kurahisishiwa kwa kuwekewa
majibu ya kuchagua ( hata kwa masomo kama hesabu n.k.)?
Je kwa mtindo huu mpya ( ambao serikali inauita ''technolojia mpya ya ujazaji wa majibu'') hatuoni tutawachukua
wanaostahili na wasiostahili pamoja? maana tutapimaje kiwango cha elimu kwa kutumia ''multiple choice questions''
ambayo mtu anaweza kufumba macho na akapatia jibu?
MY TAKE: HUU NI UVIVU WA KUFIKIRI WA VIONGOZI WASIO MAKINI.
2. NAIBU WAZIRI WA ELIMU ( kwa macho yake MWENYEWE) ameshuhudia wanafunzi wawili kati ya 35 wa darasa la saba wanaofanya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi katika shule moja mjini Bagamoyo kuwa HAWAJUI KUSOMA WALA KUANDIKA!!!
Je ni hatua zipi amechukua zipi amechukua baada ya kuona hiyo hali hapo shuleni?
Who is to blame??? Nani wakulaumiwa jamani??? Mtoto mwenyewe, waalimu wake au wazazi/walezi wake, viongozi wa serikali???
THIS ONLY HAPPEN TO A SILLY GOVERNMENT.
VIONGOZI WAVIVU WA KUFIKIRI HUZAA SERIKALI DHAIFU.
kwa kujibu majibu yaliyo sahihi tuuu ( tofauti na miaka ya nyuma).
Je hii ina maana kuwa waalimu au wasahihishaji wetu wamechoka kusoma majibu ya kujielezea?
Je hii ina maana watoto wetu wanaomaliza elimu ya msingi hawajui kujielezea hivyo kurahisishiwa kwa kuwekewa
majibu ya kuchagua ( hata kwa masomo kama hesabu n.k.)?
Je kwa mtindo huu mpya ( ambao serikali inauita ''technolojia mpya ya ujazaji wa majibu'') hatuoni tutawachukua
wanaostahili na wasiostahili pamoja? maana tutapimaje kiwango cha elimu kwa kutumia ''multiple choice questions''
ambayo mtu anaweza kufumba macho na akapatia jibu?
MY TAKE: HUU NI UVIVU WA KUFIKIRI WA VIONGOZI WASIO MAKINI.
2. NAIBU WAZIRI WA ELIMU ( kwa macho yake MWENYEWE) ameshuhudia wanafunzi wawili kati ya 35 wa darasa la saba wanaofanya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi katika shule moja mjini Bagamoyo kuwa HAWAJUI KUSOMA WALA KUANDIKA!!!
Je ni hatua zipi amechukua zipi amechukua baada ya kuona hiyo hali hapo shuleni?
Who is to blame??? Nani wakulaumiwa jamani??? Mtoto mwenyewe, waalimu wake au wazazi/walezi wake, viongozi wa serikali???
THIS ONLY HAPPEN TO A SILLY GOVERNMENT.
VIONGOZI WAVIVU WA KUFIKIRI HUZAA SERIKALI DHAIFU.