Izack Mwanahapa
JF-Expert Member
- Apr 21, 2011
- 497
- 236
Ndugu Zangu hivi ili Nchi zetu za Kiafrika ziweze kuendelea kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni na kuleta tija katika maisha halisi ya watu tunahitaji nini kati ya "WATU Imara" au "TAASISI Imara" (We need strong People or strong Institutions) ?