Tunahitaji watanzania kuwa na mawazo chanya ili kupiga hatua za maendeleo

tatum

JF-Expert Member
Jan 16, 2018
5,786
4,490
Hawa wanaharakati mitandaoni ambao kazi yao ni kupinga kila kitu cha awamu hii kwa mfano Fatuma Karume,Mange Kimambi,Ansbert Ngurumo,Everist Chahali,Zitto Kabwe,Godbless Lema,Peter MsigwaHalima Mdee nk nadhani wanahitaji msaada wa kisaikolojia.

Maana hakuna jambo lolote lile linalofanywa na serikali hii bila wao kupinga na hakuna mawazo mbadala wanayotoa labda Mh Zitto siku moja moja huwa anatoa na ushauri kidogo lakini wengine ni kupinga tu kama vile wametumwa na kama wametumwa sijui wametumwa na nani....

Hatukatai kila mwanadamu ana mapungufu yake lakini ndo kila linalofanywa kwa awamu hii halifai kitu ambacho sidhani kama ni kweli.

Wamekuwa wakishinda mitandaoni kuhakikisha wana tweet au kuweka tu neno lolote lile la kuipinga serikali

Ningefurahi sana kama siku moja kuwe na mjadala mubashara then tuwasikie wakiwakilisha mada zao za kuonyesha wao wangefanyaje katika kuendesha nchi kama wanao wenzao kwasasa hawafanyi inavyopaswa.

Na Rais wa awamu hii ya tano navyojua mimi ni kuwa uzi ni uleule harudi nyuma mpaka kieleweke yote ambayo yameainishwa kwenye ilani ya chama anahakikisha anayatekeleza kama inavyotakiwa na ndiyo aliyoyanadi wakati wa kampeni.

Haya mawazo hasi ambayo yamekuwa yakipandikizwa kupitia mitandao ya kijamii ni ya kuyapuuza tu na hata kuwapuuza wanayajitahidi kuhakikisha kila siku wanaweka hata neno moja la kuwakatisha tamaa watanzania.

Ila nafurahi kwa baadhi ya watanzania kujua ukweli wa nini kinachofanyika nchini kutokana na zile tabia zilizokuwa zimezoeleweka huko nyuma katika kuhijumu nchi kwa baadhi ya viongozi wakishughulikiwa kwa mujibu wa sheria.

Kuwa na mawazo hasi na Kupinga kila kitu hakulisaidii taifa bali kuliangamiza
 
mkuu"Unity in diversity of opinion" ni muhimu katika maendelewa ya nchi yoyote in modern politics, sio uwadui mkuu hiyo ni stage ya level of civilization.
Hakuna anayefanya siasa za uadui hapa nchini
 
Hawa wanaharakati mitandaoni ambao kazi yao ni kupinga kila kitu cha awamu hii kwa mfano Fatuma Karume,Mange Kimambi,Ansbert Ngurumo,Everist Chahali,Zitto Kabwe,Godbless Lema,Peter MsigwaHalima Mdee nk nadhani wanahitaji msaada wa kisaikolojia.

Maana hakuna jambo lolote lile linalofanywa na serikali hii bila wao kupinga na hakuna mawazo mbadala wanayotoa labda Mh Zitto siku moja moja huwa anatoa na ushauri kidogo lakini wengine ni kupinga tu kama vile wametumwa na kama wametumwa sijui wametumwa na nani....

Hatukatai kila mwanadamu ana mapungufu yake lakini ndo kila linalofanywa kwa awamu hii halifai kitu ambacho sidhani kama ni kweli.

Wamekuwa wakishinda mitandaoni kuhakikisha wana tweet au kuweka tu neno lolote lile la kuipinga serikali

Ningefurahi sana kama siku moja kuwe na mjadala mubashara then tuwasikie wakiwakilisha mada zao za kuonyesha wao wangefanyaje katika kuendesha nchi kama wanao wenzao kwasasa hawafanyi inavyopaswa.

Na Rais wa awamu hii ya tano navyojua mimi ni kuwa uzi ni uleule harudi nyuma mpaka kieleweke yote ambayo yameainishwa kwenye ilani ya chama anahakikisha anayatekeleza kama inavyotakiwa na ndiyo aliyoyanadi wakati wa kampeni.

Haya mawazo hasi ambayo yamekuwa yakipandikizwa kupitia mitandao ya kijamii ni ya kuyapuuza tu na hata kuwapuuza wanayajitahidi kuhakikisha kila siku wanaweka hata neno moja la kuwakatisha tamaa watanzania.

Ila nafurahi kwa baadhi ya watanzania kujua ukweli wa nini kinachofanyika nchini kutokana na zile tabia zilizokuwa zimezoeleweka huko nyuma katika kuhijumu nchi kwa baadhi ya viongozi wakishughulikiwa kwa mujibu wa sheria.

Kuwa na mawazo hasi na Kupinga kila kitu hakulisaidii taifa bali kuliangamiza
Jitafakari sana. Kwani kuwa na mawazo mbadala ni dhambi? Haujui kuwa hii nchi ni ya vyama vingi? Hata Mungu aliumba mbingu dunia na kila kitu lakini kuna watu bado wanamkosoa sasa ni nani asiyepingwa? Hivi unakula mahalage ya wapi wewe?
Kwa wanafizikia third equation inasema hivi ' for any action there is an equal and opposite reaction'. kila kitu huwa kuna nguvu ya upinzani kwahiyo uzoee upunguze kuwa kama kondoo.
 
Jitafakari sana. Kwani kuwa na mawazo mbadala ni dhambi? Haujui kuwa hii nchi ni ya vyama vingi? Hata Mungu aliumba dunia lakini kuna watu bado wanamkosoa sasa ni nani asiyepingwa? Hivi unakula mahalage ya wapi wewe?
Kwa wanafizikia third equation inasema hivi ' for any action there is an equal and opposite reaction'. kila kitu huwa kuna nguvu ya upinzani kwahiyo uzoee upunguze kuwa kama kondoo.
Mawazo mbadala si dhambi wala hujazuiliwa ....nachongelea hapo ni KUPINGA KILA JAMBO LINALOFANYWA NA SERIKALI AWAMU HII. hiyo ndiyo shida yangu kwa hao watu....LENGO LAO NI NINI KUPINGA KILA KITU....hiyo kitaalamu ni kama TREASON tu hakuna tofauti
 
Back
Top Bottom