Tunahitaji Sheria ya Ulinzi binafsi itungwe 'Self Defence'

Tunahitaji Sheria ya Ulinzi binafsi itungwe 'Self Defence'

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
1,116
Reaction score
2,480
Tanzania hatuna Sheria ya “Self defense gadgets” hivyo silaha nyingi za kujihami zinaangukia kwenye Sheria ya umiliki wa silaha na risasi, hata pepper spray na mishale ile ya kisasa ya chuma inahitaji kibali kwahiyo kama Taifa tunahitaji bunge lifanye marejeo Kwa Sheria hizi.
 
Tanzania hatuna Sheria ya “Self defense gadgets” hivyo silaha nyingi za kujihami zinaangukia kwenye Sheria ya umiliki wa silaha na risasi, hata pepper spray na mishale ile ya kisasa ya chuma inahitaji kibali kwahiyo kama Taifa tunahitaji bunge lifanye marejeo Kwa Sheria hizi.
Hadi mishale 🤔
 
Back
Top Bottom