mirindimo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 1,116
- 2,480
Tanzania hatuna Sheria ya “Self defense gadgets” hivyo silaha nyingi za kujihami zinaangukia kwenye Sheria ya umiliki wa silaha na risasi, hata pepper spray na mishale ile ya kisasa ya chuma inahitaji kibali kwahiyo kama Taifa tunahitaji bunge lifanye marejeo Kwa Sheria hizi.