Tunahitaji Rais mwanadiplomasia haraka

Tunahitaji Rais mwanadiplomasia haraka

Dah hii kampeni mliyoianza mtamuingiza ndugu yenu kwenye matatizo makubwa. Mambo yoote uliyoyaeleza yanawahusu mabalozi wa tz katika nchi husika zaidi ya hapo kwani hayo matatizo ya China Na marekani yanatuhusu nini. Mnataka mturudishe kwenye ombaomba

Kwani itakuwa mara ya kwanza?
Kwendraaa segerea kwa dj mkaimbe mapambio
 
Back
Top Bottom