Huwa naangalia kwanza contents ya thread, kama ni pumba naangalia tarehe ya kujiunga, na kama umejiunga baada ya magamba, huwa nawasamehe bure kabisa kwa roho nyeupe. Kwani wengi hawajui walitendalo hapa kwenye uwanja wa Great Thinkers. Wewe nilishakusamehe kwa pumba zako hizi.