Hizi team ndio huamsha ushindani..
Sema nyingi teammavi zinatukana balaa,
Mi sidhani km timu ni nzuri, kitu kizuri ni kumpa sapoti kila msanii anayefanya vizuri, inawezekana kabisa kuwapenda wote Diamond na Alikiba as long as wote wanafanya vizuri; Natamani sikumoja kuona tuna big names kama Rich Mavoco, Alikiba, Ommy Dimpoz, Diamond, Barnaba, Vannesa, etc. Yaani idadi kama hiyo ya majina inatambulika kimataifa, hapo ndipo tutasema mziki umekua
Ali Kiba anatia sana moyo.
Watanzania wote tunajivunia KingKiba pekee kama msanii wa kimataifa ila hao wengine labda tuwape muda kidogo baada ya miaka kama 4 mbeleni.
Ay and Chibu dangote
Next namuona V Money,
next nilikua namuona Rich mavoco sasa simuoni tena sijui tatizo nn,
Kiba ,Ommy,Jux nahisi bado vitu kidogo tu wataingia kundini MUNGU jalia muziki wa tanzania upige hatua.
Nje ya mada
AY alikuwa na trend nzuri sana kabla ya Diamond but sahivi amestack, kwa juhudi alizowahi kuzifanya alistahili kuwa mbele ya Diamond, ni vile tu hana nyota ya mchezo
Watanzania wote tunajivunia KingKiba pekee kama msanii wa kimataifa ila hao wengine labda tuwape muda kidogo baada ya miaka kama 4 mbeleni.
+Kuna vitu fulani wasanii wetu km kina V money wakiwa navyo au wakivifanya kuna uwezekano wakatuwakilisha vizuri km Diamond!
+ management makini
Msanii unatakiwa awe na management makini ambayo itakua na uwezo wa kumtafutia msanii link na wasanii pamoja na project za kimataifa.
+ kujitangaza mwenyewe pamoja muziki wake
Msanii makini ni yule ambaye anajitangaza vizuri ili kulibrand jina lake na muziki wake. Hii naona inamsaidia sana Diamond, mfano hata akitoa single mpya lazima afanye kitu fulani huko kwenye mitandao kitakachofanya watu wawe aware na nyimbo zake. Hapa sasa hivi tu meneja wake mmoja yupo busy Uganda unafanya media tour kuitambulisha Nana.
+ uwezo binafsi, kujituma na nidhamu ya kazi
Kuthamini muziki wako na kufanya serious kama watu wengine.
Hayo ni baadhi tu yakifuatwa nadhani tutawapata kina Diamond wengine wengi tu
Vee Money nae anazidi Ku shine for sure...
Watanzania wote tunajivunia KingKiba pekee kama msanii wa kimataifa ila hao wengine labda tuwape muda kidogo baada ya miaka kama 4 mbeleni.
Yeah me mwenyewe namuona aisee anajitahidi sana anachukua vizuri sana nafasi ya Jide!