Nafanya fumigation inayoangamiza mazalia na uwepo wa mbu, mende, chawa, papasi, kunguni, na viroboto majumbani na mashambani pia kwenye mifugo.
Pia fumigation maofisini, warehouse na stores.
Bei ni nafuu sana sh. 1000 ( moja) kwa square metre.
Muda unaotolewa (guarantee) ni miez 4.