Tunaendelea: Kongamano la Katiba mpya latinga Jimbo la Magu, Umati mkubwa washiriki

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,689
218,192
Baada ya kumaliza shughuli ya kumbukumbu ya Mwl Nyerere kule Butiama kwa mafanikio makubwa, Vijana wa Bavicha wanaendelea na kazi ya Kitume ya kuelimisha jamii kuhusu umuhimu wa Katiba Mpya na Tume huru ya uchaguzi ambapo leo wameingia Jimbo la Magu na Kukumbana na Umati wa wananchi ukiwasubiri kwa kishindo.

Maneno matupu hayavunji mfupa, hebu jionee mwenyewe.

Kijiji_kwa_Kijiji%2C_Kata_kwa_Kata%2C_Jimbo_kwa_Jimbo_ujumbe_ni_%23KatibaMpya%0A%0ALeo_Oktoba_...jpg
Kijiji_kwa_Kijiji%2C_Kata_kwa_Kata%2C_Jimbo_kwa_Jimbo_ujumbe_ni_%23KatibaMpya%0A%0ALeo_Oktoba_...jpg
 
Baada ya kumaliza shughuli ya kumbukumbu ya Mwl Nyerere kule Butiama kwa mafanikio makubwa , Vijana wa Bavicha wanaendelea na kazi ya Kitume ya kuelimisha jamii kuhusu umuhimu wa Katiba Mpya na Tume huru ya uchaguzi , ambapo leo wameingia Jimbo la Magu na Kukumbana na Umati wa wananchi ukiwasubiri kwa kishindo.

Maneno matupu hayavunji mfupa , hebu jionee mwenyewe .

View attachment 1976460View attachment 1976461
Good work
 
Baada ya kumaliza shughuli ya kumbukumbu ya Mwl Nyerere kule Butiama kwa mafanikio makubwa , Vijana wa Bavicha wanaendelea na kazi ya Kitume ya kuelimisha jamii kuhusu umuhimu wa Katiba Mpya na Tume huru ya uchaguzi , ambapo leo wameingia Jimbo la Magu na Kukumbana na Umati wa wananchi ukiwasubiri kwa kishindo.
Maneno matupu hayavunji mfupa , hebu jionee mwenyewe .
View attachment 1976460View attachment 1976461
 
Baada ya kumaliza shughuli ya kumbukumbu ya Mwl Nyerere kule Butiama kwa mafanikio makubwa , Vijana wa Bavicha wanaendelea na kazi ya Kitume ya kuelimisha jamii kuhusu umuhimu wa Katiba Mpya na Tume huru ya uchaguzi , ambapo leo wameingia Jimbo la Magu na Kukumbana na Umati wa wananchi ukiwasubiri kwa kishindo.

Maneno matupu hayavunji mfupa , hebu jionee mwenyewe .

View attachment 1976460View attachment 1976461
Kweli huu umati, safi sana!!!
 
Baada ya kumaliza shughuli ya kumbukumbu ya Mwl Nyerere kule Butiama kwa mafanikio makubwa, Vijana wa Bavicha wanaendelea na kazi ya Kitume ya kuelimisha jamii kuhusu umuhimu wa Katiba Mpya na Tume huru ya uchaguzi ambapo leo wameingia Jimbo la Magu na Kukumbana na Umati wa wananchi ukiwasubiri kwa kishindo.

Maneno matupu hayavunji mfupa, hebu jionee mwenyewe.

View attachment 1976460View attachment 1976461
Ni jukumu la wote kuwaelimisha wasioelewa umuhimu wa katiba mpya, majukumu ya tume ya uchaguzi na nguvu ya mwananchi katika mustakabali wa taifa. Kwa kujitolea kwenu nawapa hongera sana na Mungu azidi kuwapa moyo huo wa kizalendo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom