Tunachota kwa zamu

Pastor Achachanda

JF-Expert Member
May 4, 2012
3,023
1,315
186407f89a96ae647f40c068cc574c07.jpg
 
Nadhani nishajibu maswali ya watu wengi hapa

Hatunywu sumu hatujinyongiiiiii
Ccm mbele kwa mbeleee
Tumeipenda wenyewe
Chaguo letu wenyeweeee
Wacha waisome nambaaa weeeeeee
Ccm mbele kwa mbeleeeee
Wacheni wandamane weeeeee.......ujinga wao
Ccm mbele kwa mbeleeeeee
Tumewapiga kwenye mitaaaaa
Ccm mbele kwa mbelee
Tutawapiga na udiwani
Ccm mbele kwa mbele
Tutawapiga na ubungeee
Ccm mbele kwa mbeleeee
Chamtema kuni kwa Uraisi
Ccm mbele kwa mbelee


*Huu wimbo unajieleza na utatunyoosha*
 
Na hapo tuna asilimia zaidi ya 60 ya mipaka ni maji tupu, maziwa makuu na madogo, mito mikubwa vyanzo mbalimbali vya maji... tungekuwa na akili hii kwenye nchi kama Mali katikati ya jangwa saa hizi tungekuwa kwenye historia tu!...
 
Nadhani nishajibu maswali ya watu wengi hapa

Hatunywu sumu hatujinyongiiiiii
Ccm mbele kwa mbeleee
Tumeipenda wenyewe
Chaguo letu wenyeweeee
Wacha waisome nambaaa weeeeeee
Ccm mbele kwa mbeleeeee
Wacheni wandamane weeeeee.......ujinga wao
Ccm mbele kwa mbeleeeeee
Tumewapiga kwenye mitaaaaa
Ccm mbele kwa mbelee
Tutawapiga na udiwani
Ccm mbele kwa mbele
Tutawapiga na ubungeee
Ccm mbele kwa mbeleeee
Chamtema kuni kwa Uraisi
Ccm mbele kwa mbelee


*Huu wimbo unajieleza na utatunyoosha*
Dah!!
 
Maji .. Maji... Kuna wanaobakwa kwa kutafuta maji, wanaopata mimba za maji, wanaoliwa na simba kwa ajili ya maji, wanaoachwa na waume kwa ajili ya maji, maji maji maji... Athari za kijamii (Social impact) za kukosa maji ni kubwa na viongozi hawaoni kama ni udhaifu wa kuwapa mahitaji ya lazima wananchi wake... Viongozi wana hatia ya haya yote...
 
Back
Top Bottom