Phone4Sale Tuna simu used almost sawa na mpya toka Dubai

Simu nzuri sana tatizo online business Tanzania ni zaidi ya kubet tena bora hata betting kuna 50-50 kushinda au kupigwa ila hii ya kutumiana pesa upate mzigo, 90% Bongo unapigwa hata duka liwe la rafiki yako.

Sisi ni wakweli 100%
 
I smell fish here
Ndo tunauza hivyo wee ukiwa unanusa nusa, njoo ununue simu wewe , au agiza
IMG_20220512_134105_1.jpg
 
1.Samsung
A21s GB 128/4
Tunakupa kwa 360000
Badala ya 400000
Tunakupa Warrant ya mwaka mzima

2.Samsung
A10s GB 32/2
Tunakupa kwa 260000
Badala ya 400000
Tunakupa Warrant ya mwaka mzima

3.Samsung
A51 GB 128/4
Tunakupa kwa 450000
Badala ya 600000
Tunakupa Warrant ya mwaka mzima

4.Samsung
A03core GB 32/2
Tunakupa kwa 230000
Badala ya 300000
Tunakupa Warrant ya mwaka mzima

5.Samsung
A12 GB 128/4
Tunakupa kwa 350000
Badala ya 500000
Tunakupa Warrant ya mwaka mzima

6.Samsung A11 GB 32/2
Tunakupa kwa 260000
Badala ya 300000
Tunakupa Warrant ya mwaka mzima.


7.Samsung s10 GB 2562/8
Tunakupa kwa 750000
Badala ya 1000000
Tunakupa Warrant ya mwaka mzima

N.k zipo wakuu
IMG-20220512-WA0068.jpg
IMG-20220512-WA0066.jpg
IMG-20220512-WA0059.jpg
IMG-20220512-WA0057.jpg
IMG-20220512-WA0054.jpg
IMG-20220512-WA0060.jpg
IMG-20220512-WA0065.jpg
IMG-20220512-WA0056.jpg
 
mazingira uliyopiga kuonyesha ofisi yenu (quality na layout) ni tofauti kabisa na picha unazozituma humu.... inaonyesha hamna hata simu moja mliyopigia ofisini!!!
 
Back
Top Bottom