kutoa siri za nguvu ya ufalme wa majeshi yako ni kosa la kimkakati.
ni vizuri kufahamu tu kwamba,
yeyote atakaeleta chokochoko dhidi ya usalama wa mipaka au anga ya Tanazania, tutamfurahisha zaidi ya tulivyomfurahisha nduli idi amini dada mpaka sebuleni kwake π